• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI YAADHIMISHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI

Posted on: September 5th, 2025

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, Ndugu Stafa Nashon, ambaye alikuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya juma la ELIMU ya watu WAZIMA na ELIMU NJE ya MFUMO RASMI, siku ya tarehe 4/9/2025 alifungua maadhimisho hayo kwa kutembelea mabanda mbalimbali yaliyopo na kujionea shughuli zinazofanywa na wajasiriamali wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, kuona wanafunzi wanaopata elimu NJE ya mfumo usio rasmi jinsi walivyoweza kutumia ujuzi wao walioupata kupitia vituo vilivyopo ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, pia aliweza kupata elimu ya ufugaji nyuki na namna ya utunzaji wa mazingira, na pia aliweza kuona vifaa mbalimbali vinavyotumika katika kufundishia watu wenye mahitaji maalumu.






Maadhimisho ya juma la ELIMU ya watu WAZIMA yalifanyika katika viwanja vya shule ya msingi Kibara, na kuhudhuriwa na wananchi mbalimbali, pamoja na wanafunzi kutoka shule za msingi na Sekondari.



Lengo kuu la kuadhimisha juma la ELIMU ni kuendelea kuimarisha elimu ndani ya mfumo RASMI na elimu NJE ya mfumo RASMI, ambao unajumuisha Madarasa ya MEMKWA, ELIMU MAALUMU SEQUIP, vituo vya ufundi, mukeja na ODL ( Open and Distance Learning) kwa walimu.


Akisoma risala kwa mgeni rasmi Mwalimu Florence Njiku alisema, jumla ya wanafunzi 371 wamerudi shuleni kupitia programu ya MEMKWA baada ya kusitisha masomo kutokana na changamoto mbalimbali, na wanafunzi 236 wenye mahitaji maalumu wameandikishwa, pia, wanafunzi 21 wakike waliokatisha masomo wamerudi kupitia program ya SEQUIP. Haya ni mafanikio makubwa yaliyotokana na uwepo wa program za elimu ya watu WAZIMA katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

" Tuna vikundi mbalimbali vya wajasiriamali na wadau wanaochangia utoaji wa elimu ya ufundi katika vituo viwili ambavyo vinapatikana Nyamuswa na Kibara." Alisema Bi. Njiku.


Ndugu Nashon, alisema tutumie teknolojia katika kufundishia watu WAZIMA na pia tujutahidi kujua kusoma na kuandika na tuongeze bidii kufungua Madarasa na vituo vya elimu.


" Kukuza kisomo katika zama za kidijitali kwa maendeleo endelevu."

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WATENDAJI KATA NA MIJI WAAGIZWA KUENDELEA KUWEKA MSISITIZO KATIKA UHAMASISHAJI WA UCHANGIAJI WA CHAKULA SHULENI

    September 09, 2025
  • HALMASHAURI YAADHIMISHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI

    September 05, 2025
  • ELIMU IENDELEE KUTOLEWA KWA WANANCHI KULA VYAKULA VYENYE LISHE ILI KUPUNGUZA UTAPIAMLO

    September 05, 2025
  • TMDA WATOA ELIMU KWA WATUMISHI WA AFYA JUU YA UTOAJI WA TAARIFA ZA MADHARA NA MATUKIO YA VIFAA TIBA NA VITENDANISHI.

    August 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda