• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WATUMISHI NGAZI ZA VITUO WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA FFARS ULIOBORESHWA

Posted on: September 10th, 2025

Mafunzo ya mfumo wa FFARS yametolewa kwa watumishi ngazi za vituo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, ambapo yalihusisha watumishi wa Afya, elimu, watendaji wa kata na vijiji.


Mafunzo hayo ya siku 5 yalifanyika katika shule ya Sekondari ya wasichana Mara, yalihitimishwa siku ya tarehe 9/9/2025.


Mratibu wa mafunzo hayo, Ndugu Jacob Jeconia ambaye ni Afisa Hesabu wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, alisema lengo la mafunzo haya ni kwa ajili ya kufundishana na kuelezana kanuni, Sheria na taratibu za kufuata wakati wa kufanya manunuzi kupitia mfumo wa Nest.


Ndugu Jeconia alisema, mfumo wa FFARS ni mfumo wa uhasibu na utoaji taarifa za fedha kwa ngazi za vituo vya kutolea huduma. Mfumo huu unasaidia kuleta uwazi, uwajibikaji na uwezeshaji wa utoaji taarifa za mapokezi ya fedha na matumizi yakiwepo na malipo mbalimbali yaliyofanyika.


Lengo la maboresho haya ni kwa ajili ya kuondoka matumizi ya hundi, ambapo kupitia mfumo huo unaweza kuandika hundi ya malipo kwenda kwa mlipwaji, pia kupitia mfumo huu unatakiwa kupata kibali cha kuomba kutumia fedha kwa matumizi mbalimbali.


Ndugu Jeconia alisema maboresho yamefanyika katika maeneo yafuatayo, ambayo ni


- Eneo la kuhuisha akaunti ya mteja.

-Eneo la kufanya mahamisho ya fedha zako.( Allocation).

- Eneo la kuomba kibali cha malipo, pamoja na Eneo la kuandaa hati ya malipo( risiti).


" Kibali cha kuombea fedha lazima kiwe na maelezo ya kujitosheleza kabla hakijatumwa kwa Afisa masuhuli kwa ajili ya kukiidhinisha.


Naye, Mkaguzi wa ndani wa Halmashauri Bi. Florence Kaluretele aliwaambia washiriki hao wa mafunzo kuhakikisha wanapopokea mahitaji kutoka kwa mzabuni kukagua kama yapo sahihi na wahakikishe wanakagua na risiti kuhakikisha zipo sawa ili kuepusha migogoro isiyo na tija.


Afisa Elimu Sekondari, Bi. Pendo Masalu aliwashukuru ofisi ya fedha na uhasibu kwa kuwezesha mafunzo hayo kwa wakuu wa shule na wahasibu katika matumizi ya mfumo huu wa FFARS ulioboreshwa ambao unatumika katika kufanya malipo mbalimbali katika vituo vyao vya kazi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI NGAZI ZA VITUO WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA FFARS ULIOBORESHWA

    September 10, 2025
  • WATENDAJI KATA NA MIJI WAAGIZWA KUENDELEA KUWEKA MSISITIZO KATIKA UHAMASISHAJI WA UCHANGIAJI WA CHAKULA SHULENI

    September 09, 2025
  • HALMASHAURI YAADHIMISHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI

    September 05, 2025
  • ELIMU IENDELEE KUTOLEWA KWA WANANCHI KULA VYAKULA VYENYE LISHE ILI KUPUNGUZA UTAPIAMLO

    September 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda