• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Planning, Statistics and Monitoring

Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji.

Utangulizi:

Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji inashughulikia uratibu, usimamizi na ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri, pia inahusika na Tafiti na ukusanyaji wa Takwimu pamoja na kuratibu shughuli za Uwekezaji. Idara hii inaongozwa na Afisa Mipango Wilaya na imegawanyika katika sehemu tatu kama ifuatavyo:-

Mipango na Sera

Majukumu ya Sehemu hii ni kama ifuatavyo:

  • Kusimamia Uandaaji wa mpango wa utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi kila mwaka.
  • Kuratibu na kutayarisha  Mipango shirikishi katika Kata zote za Halmashauri kupitia Mfumo wa O&OD.
  • Kuratibu na kutayarisha  Mpango na Bajeti ya Halmashauri kila Mwaka.
  • Kusimamia uandaaji wa Mpango Kazi (Action Plan) baada ya bajeti kila mwaka.
  • Kuratibu uandaaji wa maandiko ya miradi mbalimbali ya maendeleo.
  • Kuandaa Mpango Mkakati wa Halmashauri (Council Strategic Plan)
  • Kuandaa taarifa ya  utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa sasa (BRN)
  • Kuratibu uandaaji wa taarifa mbalimbali za Halmashauri pamoja na utekelezaji wa maagizo mbalimbali ya Viongozi.
  • Kuandaa mapitio ya bajeti ya kila mwaka baada ya kipindi cha nusu mwaka.
  • Kuandaa taarifa za Mafanikio za Serikali iliyoko madarakani

Utafiti na Takwimu

Majukumu ya Sehemu hii ni kama ifuatavyo:

  • Kusimamia na kuboresha Benki ya Takwimu (Statistical Database).
  • Kuandaa na kuhuisha Wasifu wa Halmashauri (Council Profile)
  • Kufanya tathmini ya Utekelezaji wa Mpango Mkakati wa Halmashauri.
  • Kuratibu zoezi la Sensa ya Watu na Makazi.

Ufuatiliaji na Tathmini ya Miradi ya Maendeleo.

Majukumu ya Sehemu hii ni kama ifuatavyo:

  • Kufuatilia utekelezaji miradi na matumizi ya fedha za miradi.
  • Kuandaa Taarifa za Utekelezaji Miradi za kila robo mwaka.
  • Kuandaa taarifa za kila wiki za matukio ya Kiuchumi na Kijamii.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • TIMU YA WATAALAMU WA TATHIMINI NA UFUATILIAJI WA MIRADI YA MAENDELEO WAFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI

    March 27, 2025
  • MKUU WA WILAYA ATETA NA VIONGOZI WA HALMASHAURI NA WA TAASISI

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda