• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WANUFAIKA WA MRADI WA KUHIMILI ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI, KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO KATIKA KATA YA KASUGUTI

Posted on: September 25th, 2024


Kikundi cha wakulima wa mbogamboga katika kijiji cha Mumagunga ambao ni wanufaika wa mradi wa kuhimili athari za mabadiliko ya Tabianchi katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda siku ya tarehe 24/9/2024 walifanya ziara ya mafunzo kwa kutembelea Kata ya Kasuguti.

Jumla ya wanachama 15 wakiongoza na mratibu wa mradi Ndugu Johannes Bucha walitembelea kikundi cha Amani kilichopo Kata ya Kasuguti kwa lengo la kujifunza kilimo cha mbogamboga na umwagiliaji kwa njia ya matone.

Afisa Kilimo wa Kata ya Kasuguti Ndugu Mbinza Chokola Kuzenza aliwafundisha namna ya kuandaa shamba kwa ajili ya kilimo cha mbogamboga, namna ya kusia mbegu kwenye vitalu, namna ya kutambua wadudu waharibifu katika zao la nyanya na jinsi ya kuzuia wadudu hao.

Wanufaika waliweza kutembelea shamba la nyanya na matikiti maji ambayo yanamwagiliwa kwa njia yam atone, pia, walitembelea kitalu cha mbegu za nyanya na kuona jinsi zinavyokuzwa katika vitalu kabla ya kupelekwa shambani kupandwa.



Halmashauri ya Wilaya ya Bunda inatekeleza na kusimamia mradi wa kuhimili athari za mabadiliko ya Tabianchi, chini ya ufadhili wa mfuko wa Kimataifa wa kuhimili athari za mabadiliko ya Tabianchi (Adaptation Fund) ambao unasimamiwa na baraza la Taifa la hifadhi na usimamizi wa mazingira (NEMC).

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 04, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ELIMU YA UTUNZAJI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA YATOLEWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MWIBARA

    June 04, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    June 03, 2025
  • ELIMU IENDELEE KUTOLEWA KWA VIJANA RIKA BALEHE.

    May 31, 2025
  • WAUGUZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI

    May 30, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda