• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BONANZA LA MICHEZO LA WATUMISHI KATI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA, BUNDA DC NA TC

Posted on: June 16th, 2025


Halmashauri ya Wilaya ya Bunda siku ya tarehe 14/6/2025 iliandaa bonanza la michezo lilichezwa katika viwanja vya shule ya msingi Mwibara, ambalo lilishirikisha Halmashauri ya Wilaya ya Rorya, Bunda Mji na Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.


Halmashauri tatu zilishiriki katika michezo ya mpira wa miguu, mpira wa Pete na wavu, Halmashauri hizo ni Rorya, Bunda mji na Halmashauri ya Wilaya ya Bunda ambao ndio walikuwa wenyeji wa bonanza Hilo la michezo.

Afisa michezo wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Ndugu Elisha Swalle alisema, bonanza hili la michezo lilichezwa ni maandalizi ya kushiriki katika mashindano ya SHIMISEMITA, yanayotarajiwa kuchezwa Jijini Tanga mwezi wa Nane, 2025.


Ndugu Swalle aliwaomba watumishi kuendelea kufanya mazoezi ya kutosha ili siku ya mashindano ikifika waweze kushiriki vyema kwa michezo yote mpira wa miguu, Pete, na wavu.


Katika bonanza timu ya watumishi ya Rorya iliibuka mshindi wa kwanza, nafasi ya pili ilishikiliwa na Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, huku Halmashauri ya Bunda mji ikishika nafasi ya tatu.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Ndugu George S Mbilinyi aliwashukuru washiriki wote walioshiriki kucheza michezo hiyo na alisisitiza watumishi waendelee kufanya mazoezi ya kutosha na sio kusubiria siku ya mashindano ndio wafike uwanjani.


Naye, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Ndugu, Potter Mtaka, alimshukuru Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda kwa mapokezi mazuri waliyoyapata na ushirikiano wakati wote wa bonanza.


Ndugu Mtaka alisema wamefurahishwa na bonanza Hilo na waliahidi kurudi Tena Halmashauri ya Wilaya ya Bunda kwa ajili ya Bonanza lingine, alisema, wao wapo tayari kushiriki muda na mahali popote kwani michezo ni Afya, ajira na pia inajenga mahusiano na ushirikiano mzuri baina ya watumishi na watumishi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI June 23, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ZIARA YA MKURUGENZI MTENDAJI YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KATIKA HOSPITALI YA WILAYA

    June 27, 2025
  • BONANZA LA MICHEZO LA WATUMISHI KATI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA, BUNDA DC NA TC

    June 16, 2025
  • MRATIBU WA MRADI WA BCRAP ATAJA VIPAUMBELE VITAKAVYOENDA KUTEKLELEZWA KWA AWAMU YA PILI YA MRADI

    June 11, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 300 ZA POKELEWA KATIKA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUHIMILI ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIA NCHI

    June 09, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda