• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MRADI WA KIZAZI HODARI, KUTAMBULISHWA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

Posted on: November 22nd, 2023

Shirika la Msaada la Marekani (USAID), likishirikiana na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), pamoja na Ofisi ya Rais TAMISEMI siku ya tarehe 21/11/2023 waliutambulisha mradi wa KIZAZI HODARI, katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

Naibu Mkurugenzi wa mradi, Bi. Vaileth Mollel alisema, lengo la mradi huu ni kuwahudumia watoto wote walioathirika na Virus vya UKIMWI, pamoja na wanaoishi kwenye mazingira hatarishi.

Bi. Mollel alisema, mradi huu ni wa miaka mitano na unatekelezwa katika mikoa Tisa iliyopo Kanda ya Kaskazini Mashariki, katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda lengo ni kuwafikia watoto 1761 kwa mwaka.

Malengo makuu ya mradi huu ni kuhakikisha watoto wote waliopo katika kaya hatarishi ambao wameathirika na maambukizi ya virus vya UKIMWI kuhakikisha Afya zao zina imarika, kwa kuhakikisha wanakula vyakula vilivyo na lishe bora na kwa wakati sahihi.

“Tunahamasisha jamii kwenda kupima na kujua wangapi wamekutwa na virus vya UKIMWI na kuwashauri kuanza kutumia dawa za kufubaza virus vya UKIMWI. Pia, tuna wahudumia watoto wachanga ambao wamezaliwa na mama mwenye maambukizi ya virus vya UKIMWI kwa kuhakikisha mama zao wanawanyonyesha bila ya kupata maambukizi ya virus vya UKIMWI.

Hatutaki kuona watoto wanapitia ukatili wowote wa kijinsia kwa kuwanyanyapaa waathirika, tunafanya kazi mashuleni, nyumbani, kwa kupita nyumba hadi nyumba kufahamu watoto wangapi wanaishi katika kaya hizo hatarishi, pamoja na mitandao ya kidini”. Alisema Bi. Mollel.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, Bi. Changwa M. Mkwazu aliwashukuru wadau wote pamoja na Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa kuja kuutambulisha mradi, na alisema, tumeupokea mradi huu na tunawaahidi kuwapa ushirikiano wa kutosha kwa kuhakikisha tunausimamia na kutekeleza yale ambayo mtatuambia, mapungufu yoyote yatakayojitokeza tunaahidi tutayarekebisha.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 04, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ELIMU YA UTUNZAJI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA YATOLEWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MWIBARA

    June 04, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    June 03, 2025
  • ELIMU IENDELEE KUTOLEWA KWA VIJANA RIKA BALEHE.

    May 31, 2025
  • WAUGUZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI

    May 30, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda