• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

AFISA USTAWI WA JAMII HALMASHAURI YA BUNDA AMETOA ELIMU KWA WATU WENYE ULEMAVU KATIKA KATA YA CHITENGULE, IGUNDU NA IRAMBA.

Posted on: November 6th, 2024

Halmashauri ya Wilaya ya Bunda kupitia kitengo cha Ustawi wa jamii imetoa elimu kwa watu wenye ulemavu waishio katika kata ya Chitengule, Igundu na Iramba, kuhusiana na namna wanavoweza kupata haki zao za msingi katika jamii, na kutoa taarifa pale wanapoona hawa tendewi haki kwenye jamii inayo wazunguka.

ELIMU hiyo ilitolewa siku ya tarehe 5/11/2024 na Afisa Ustawi wa jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Bi. Maria John alisema watu wenye ulemavu wanayo haki ya kuomba na kupata mkopo unaotolewa na Halmashauri, wanayo haki ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa serikali za mitaa hivyo hawatakiwi kubaki nyuma kwa kujiona kama wao wapo tofauti na watu wengine.

Bi. Maria aliwasisitiza watu wenye ulemavu kutoka Halmashauri kuhakikisha wanashiriki katika shughuli zote za kijamii katika kuhakikisha wanajiletea maendeleo yao ya kiuchumi, na kijamii pia kwa kuhakikisha wanashiriki katika kuomba mikopo inayotolewa na Halmashauri na kushiriki kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi wa serikali za mitaa, hivyo aliwaomba kujitokeza kwenda kupiga kura ili waweze kuchagua kiongozi aliye Bora na sahihi ambaye watashirikiana katika kuleta maendeleo na kufikisha mahitaji yao sehemu husika, watu wenye ulemavu wanayo haki ya kusikilizwa na kushiriki katika masuala yote yanayohusu jamii.

Naye, Afisa Maendeleo ya Jamii Ndugu Justin Mtopwa aliwafundisha namna ya  kuunda vikundi kwa ajili ya kupata mkopo unaotolewa na Halmashauri, hivyo aliwasisitiza kuhakikisha wanaunda vikundi kwa ajili ya kuchukua mkopo kwa Awamu ya pili dirisha litakapofunguliwa upya. 

Mwenyekiti wa Chama cha Watu wenye ulemavu Tanzania katika Wilaya ya Bunda Ndugu Sabasaba Mseveni Haji aliwaomba watu wenye ulemavu kuhakikisha wanashiriki katika kugombea nafasi mbalimbali za uchaguzi kuanzia kwenye chama Chao cha CHAWATA, na wanashiriki kwenda kupiga kura katika  uchaguzi wa serikali za mitaa kwa ajili ya kuchagua  viongozi walio sahihi ambao watashirikiana nao katika kuwasikiliza na kuwaletea maendeleo katika Kijiji na kitongoji.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda