• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIARA YA MKURUGENZI MTENDAJI KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA UJENZI KATIKA JIMBO LA BUNDA

Posted on: May 6th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, Ndugu George S. Mbilinyi ameendelea na ziara yake ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo ya ujenzi iliyopo katika Jimbo la Bunda.


Kituo cha kutolea huduma za Afya, Kiloleri

Ambapo siku ya 4/5/2024 alitembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa kituo cha kutolea huduma za Afya Kiloleri, alikagua ukamilishaji wa matundu 21 ya vyoo katika shule ya msingi Salama A, na mradi wa ujenzi wa matundu manne (4) ya vyoo katika shule ya msingi Salama A, pia alitembelea na kukagua ujenzi wa chumba kimoja cha darasa na matundu manne (4) ya vyoo katika shule ya msingi Salama Kati, ujenzi wa matundu matano (5) ya vyoo katika zahanati ya Kurusanga.

Ukaguzi wa matundu 21 ya vyoo, katika shule ya msingi Salama A



Ndugu Mbilinyi aliagiza wasimamizi wa miradi yote ya ujenzi kuhakikisha wanafuata taratibu na sheria za manunuzi ya vifaa vya ujenzi na kuhakikisha wanawasimamia mafundi vizuri ili kuharakisha kasi ya ujenzi na kuhakikisha miradi yote inakamilika kwa wakati uliopangwa.

Mkurugenzi pia, alitembelea na kukagua darasa la watoto wenye mahitaji maalumu katika shule ya msingi Nyamuswa B na kukagua eneo la upandaji miti pamoja na uwanja ambao mwenge wa uhuru 2024 unatarajiwa kupokelewa mwanzoni mwa mwezi wa nane.


Darasa la watoto wenye mahitaji maalumu, shule ya msingi Nyamuswa B



Katika ziara hiyo, Mkurugenzi Mtendaji aliongozana na baadhi ya wakuu wa idara na vitengo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI June 23, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ZIARA YA MKURUGENZI MTENDAJI YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KATIKA HOSPITALI YA WILAYA

    June 27, 2025
  • BONANZA LA MICHEZO LA WATUMISHI KATI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA, BUNDA DC NA TC

    June 16, 2025
  • MRATIBU WA MRADI WA BCRAP ATAJA VIPAUMBELE VITAKAVYOENDA KUTEKLELEZWA KWA AWAMU YA PILI YA MRADI

    June 11, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 300 ZA POKELEWA KATIKA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUHIMILI ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIA NCHI

    June 09, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda