• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TEHAMA

Albert J. Chuwa
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA
MAJUKUMU YA KITENGO
Kitengo hiki kinatekeleza majukumu yaliyogawanyika katika sehemu kuu mbili:


1. HABARI NA UHUSIANO
  1. Kusimamia Sera, Sheria, Taratibu na miongozo inayotolewa na serikali juu ya uendeshaji wa Mifumo, Miundombinu na vifaa vya Habari na Mawasiliano katika Halmashauri Kutoa Matangazo yote ya Kazi na Miradi inayotekelezwa kwenye Halmashauri
  2. Kutoa Vijarida, Vipeperushi na Vitambulisho vya kazi kwa watumishi wa Halmashauri
  3. Kutangaza Vivutio vya utalii na Maeneo ya Uwekezaji ya Halmashauri kwenye Tovuti, Runinga, Magazeti na Redio Kupiga picha za Matukio mbalimbali yanayotokea katika Halmashauri na Kuyahidhi kwa ajili ya Kumbukumbu  za Halmashauri
  4. Kukusanya na Kuaandaa Habari za Halmashauri
  5. Kukusanya habari za Halmashauri zilizochapishwa kwenye Magazeti mbalimbali
  6. Kukusanya na kutunza habari za mtandaoni zinazoihusu Halmashauri kwa kutumia “Computer” Maalum.
  7. Kuboresha mahusiano kati ya Halmashauri, Waandishi wa Habari, Wananchi na Taasisi nyingine.


2. TEHAMA
  • Kusimamia Sera, Sheria, Taratibu na miongozo ya Kitengo inayotolewa na serikali juu ya uendeshaji wa Kitengo cha TEHAMA & Uhusiano
  • Kuandaa Mpango Mkakati kuhusu Teknolojia ya Habari na Mawasiliano,
  • Kuandaa Miongozo na taratibu kwa kuzingatia kwa matumizi salama ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano.
  • Kutengeneza mpango wa matengenezo(Preventive na maintenance plan) kwa kila mwaka
    wa fedha na kuutekeleza.
  • Kuishauri Mkurugenzi  juu ya ya masuala yanayohusiana na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano na utekelezaji wa dhana ya serikali mtandao.
  • Kusimamia maendeleo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano na utekelezaji wake kwa Halmashauri.
  • Kutoa na kuratibu msaada wa teknolojia ya habari kwa menejimenti ya Halmashauri.
  • Kusimamia na kuratibu kazi za taaluma ya TEHAMA zinazofanywa katika Vitengo na Idara nyingine.
  • Kutathimini, kuboresha na kusimamia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano na usimamizi wa mifumo ya taarifa/habari iliyosimikwa/iliyowekwa kwenye halmashauri.
  • Kufanya tathimini ya mahitaji ya mafunzo juu ya usimamizi wa mifumo ya taarifa na teknolojia ya habari na mawasiliano na kuandaa mpango wa kujenga uwezo
  • Kufanya tathimini ya hatari/hasara zinazohusiana na miundombinu ya teknolojia ya habari na mawasiliano na mfumo wa usimamizi wa taarifa na namna ya kuthibiti.
  • Kutoa ushauri bora na viwango kwa vifaa vya TEHAMA vinanyo nunuliwa, kufungwa na vinanyotumika kulingana na viwango vilivyowekwa na Serikali
  • Kuandaa na kuisimamia sera ya TEHAMA
  • Kusimamia Tovuti ya Halmashauri


Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA KATIKA SHULE YA SEKONDARI SALAMA December 17, 2020
  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA KATIKA SHULE YA SEKONDARI MWIBARA December 17, 2020
  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA KATIKA SHULE YA SEKONDARI CHITENGULE December 17, 2020
  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA KATIKA SHULE YA SEKONDARI MURANDA December 17, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Wilaya ya Bunda yatoa motisha kwa Shule ,Walimu na Wanafunzi waloffanya vizuri matokeo ya darasa la saba mwaka 2020

    February 20, 2021
  • Shule za Msingi,Mugeta,Sanzate na Nyamitwebili zilipo Halmashauri Wilaya ya Bunda yanafuika na jengo la Maktaba yaliyofadhiliwa na Shirika lisilo la Serikali PCI

    December 19, 2020
  • Halmashauri Ya Wilaya ya Bunda ya Zindua Mkutano wa Kwanza wa Baraza la Madiwani.

    December 17, 2020
  • Halmashauri ya Wilaya ya Bunda,Butiama ,Serengeti na Musoma Dc yanufaika na Mafunzo ya TARI

    December 05, 2020
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020 Bundadc
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019
  • Sekretarieti ya Ajira
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Mara Secretariet

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kilimani Street

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0677002976

    Hamishika: 0783669938

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda