• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

CRDB BANK YAKABIDHI VITI NA MEZA KWA SHULE YA SEKONDARI MANCHIMWERU.

Posted on: November 18th, 2025


Halmashauri ya Wilaya ya Bunda siku ya tarehe 18/11/2025 imepokea viti na meza kutoka bank ya CRDB, kwa ajili ya shule mpya ya Sekondari Manchimweru iliyopo kata ya Mihingo.


Akizungumza katika makabidhiano hayo, meneja wa bank tawi la Bunda Ndugu Solomon Marwa alisema, Leo hii tumekuja hapa kwa ajili ya kukabidhi viti 40 na meza 40 vyenye thamani ya Tshs milioni 2 laki sita na elfu 70, katika shule ya Sekondari Manchimweru.


Naye, meneja mahusiano na Biashara za serikali Kanda ya ziwa, Bi. Huruma Gidiel alisema, bank ya CRDB imekuwa na utaratibu wa kutenga asilimia 1 Kila mwaka ya faida kwa ajili ya kurudisha katika jamii, na Leo hii tupo hapa kwa ajili ya kuwawezesha wanafunzi wa shule ya Sekondari Manchimweru kupata viti na meza hizi ili waweze kukaa katika mazingira mazuri wanapokuwa darasani.


Ndugu Lusingi Sitta, ambaye ni meneja wa bank ya CRDB Kanda ya ziwa, alisema tunao miradi unaoitwa " Keti jifunze" ambao tumekuwa tukishirikiana na shule mbalimbali katika kuhakikisha katika asilimia 1 ya faida tunayotenga tunaipeleka katika kusaidia madawati shuleni ili wanafunzi wetu waweze kukaa katika mazingira mazuri na rafiki wawapo darasani na shuleni.


" Tupo pamoja katika upande wa maendeleo na ninawahakikishia kwamba sisi CRDB tutailea shule hii na pia tunawashukuru sana kwa kuwa na akaunti katika benki yetu." Alisema Ndugu Sitta.


Ndugu Sitta aliwasisitiza wanafunzi hao kuhakikisha wanasoma vizuri sababu wamewawezesha mazingira mazuri ya kujifunzia, pia, niwashukuru wazazi kwa kuweza kusimamia ujenzi wa shule hii hadi kukamilika kwake.


Naye, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Ndugu George S Mbilinyi, aliwashukuru bank ya CRDB kwa kushirikiana kwa pamoja katika kuhakikisha wanasaidiana katika kuleta maendeleo katika sekta ya elimu.


" Ninawaahidi, tutaendelea kushirikiana kwa pamoja katika kuhakikisha tunaleta maendeleo ya pamoja." Alisema Ndugu Mbilinyi.


Aidha, Mkurugenzi Mbilinyi, aliwasisitiza wanafunzi kuhakikisha wanavitunza viti na meza walizopokea wakati wote ili viweze kudumu kwa muda mrefu, tuendelee kushirikiana katika kuhakikisha tunakuza maendeleo.

Matangazo

  • WALIOFAULU USAILI- JIMBO LA BUNDA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO TAREHE 25/10/2025 NA 26- 27 /10/2025 KATIKA SHULE YA WASICHANA MARA October 17, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI October 11, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI October 11, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI August 27, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • CRDB BANK YAKABIDHI VITI NA MEZA KWA SHULE YA SEKONDARI MANCHIMWERU.

    November 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA YANUNUA BOTI MPYA KUTOKA KAMPUNI YA FISHNET MOTORS

    November 07, 2025
  • WATUMISHI NGAZI ZA VITUO WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA FFARS ULIOBORESHWA

    September 10, 2025
  • WATENDAJI KATA NA MIJI WAAGIZWA KUENDELEA KUWEKA MSISITIZO KATIKA UHAMASISHAJI WA UCHANGIAJI WA CHAKULA SHULENI

    September 09, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Istagram page
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form
  • Baraza la Madiwani

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda