• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIARA YA MKURUGENZI MTENDAJI, KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

Posted on: April 13th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, Ndugu George Stanley Mbilinyi siku ya tarehe 11/4/2024 alifanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika halmashauri ya Wilaya bunda, hususani katika Jimbo la Mwibara.

Ndugu Mbilinyi alitembelea na kukagua kituo cha Afya Isanju na kukagua jengo moja baada ya jingine, alimuagiza Mganga mfawidhi wa kituo kuhakikisha anasimamia usafi wa mazingira katika kituo hicho kwa kuhakikisha mazingira yote nje na ndani ya kituo yanakuwa masafi.


Pia alimuagiza Muhandisi wa Halmashauri kuhakikisha anafanya thathimini ya kiasi cha fedha zinazohitaji kwa ajili ya umaliziaji wa jengo la mama na motto, ili kuondoa adha ya kuharibika kwa saruji ambazo zipo stoo pamoja na vifaa vingine vya ujenzi.


Aidha, Ndugu Mbilinyi alitembelea na kukagua mradi wa ufugaji wa samaki na kilimo cha umwagiliaji uliopo katika kijiji cha Mchigondo Kata ya Igundu, ambapo aliweza kukagua maabara ya kutotoleshea mayai ya samaki, vizimba vya samaki vilivyopo ziwa Victoria, mabwawa ya kufugia samaki wazazi na vifaranga vya samaki.



Mkurugenzi Mtendaji alitembelea na kukagua ujenzi wa matundu ya manne ya vyoo katika shule ya msingi Bulomba, matundu matatu ya vyoo katika shule ya msingi Bulendabufwe na matundu matano ya vyoo katika zahanati ya Sunsi, ambapo ujenzi upo katika hatua mbalimbali za ukamilishaji katika miradi hiyo, Pia alikagua ujenzi wa tanki la maji katika zahanati ya Sunsi, na ukamilishaji wa vyumba viwili katika zahanati ya Sunzi.



Ndugu Mbilinyi, aliwaagiza wasimamizi wote wa miradi kuhakikisha wanafuata taratibu, kanuni na sharia za manunuzi za vifaa vya ujenzi kupitia mfumo wa Nest, pia alimuagiza Muhandisi kuhakikisha anaitembelea miradi hiyo mara kwa mara na kuhakikisha inajengwa kwa kufuata viwango sahihi na kukamilika kwa wakati.

Katika ziara hiyo, Mkurugenzi Mtendaji aliongozana na timu ya wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • TIMU YA WATAALAMU WA TATHIMINI NA UFUATILIAJI WA MIRADI YA MAENDELEO WAFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI

    March 27, 2025
  • MKUU WA WILAYA ATETA NA VIONGOZI WA HALMASHAURI NA WA TAASISI

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda