• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIARA YA KAMATI YA UTEKELEZAJI NA USIMAMIZI WA MRADI WA BCRAP, KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

Posted on: December 27th, 2023

Kamati ya utekelezaji na usimamizi wa mradi wa kuhimili mabadiliko ya Tabianchi (BCRAP), ikiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, Bi. Changwa M. Mkwazu, siku ya tarehe 23/12/2023 ilifanya ziara ya kutembelea na kukagua Mradi wa Samaki uliopo katika Kijiji cha Mchigondo, Kata ya Igundu, pamoja na mashamba darasa mawili ya Mhogo na Mtama yaliyopo katika Kijiji cha Namalebe, Kata ya Chitengule.

Lengo la ziara hiyo ni kukagua miradi hiyo inayotekelezwa chini ya mradi wa kuhimili mabadiliko ya Tabianchi (BCRAP), katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda na kuona maendeleo yake na namna wananchi watakavonufaika na miradi hiyo hapo baadae.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, ambaye ni mjumbe wa kamati hiyo, Mh. Charles Manumbu alimpongeza Mratibu anayesimamia mradi huo Ndugu Johannes Bucha kwa usimamizi wake mzuri katika kuhakikisha miradi yote miwili inaendelea vizuri, ikiwemo mashamba darasa ya Mihogo na Mtama hivyo alimsisitiza kuendelea kutoa elimu zaidi kwa wananchi na kuhakikisha anawasimamia kwa ukaribu ili kuhakikisha miradi inakuwa vizuri hadi kufikia lengo tarajiwa.

Katika ziara hiyo, kamati iliweza kutembelea mabwawa yote ya kufugia Samaki, pamoja na maabara ya kutotoleshea mayai ya Samaki hao, pia, kamati iliweza kupata maelezo kutoka kwa wataalamu mbalimbali wanaousimamia mradi huo katika kuhakikisha wanawatunza Samaki hao na kuhakikisha wanaongezeka.

Hivyohivyo, kwa upande wa kilimo, Mtaalamu wa kilimo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Ndugu,Omben Padon, aliweza kutoa maelezo yake kwa kamati hiyo jinsi ya uanzishwaji wa mashamba darasa hayo na namna wanavyoyasimamia katika kuhakikisha lengo husika linafikiwa kwa wanufaika wa mradi wa kuhimili mabadiliko ya Tabianchi, katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.



Halmashauri ya Wilaya ya Bunda inatekeleza mradi wa kuhimili mabadiliko ya Tabianchi, chini ya ufadhili wa Mfuko wa Kimataifa wa kuhimili mabadiliko ya Tabianchi (Adaptation Fund) ambao unasimamiwa na Baraza la Taifa  na Usimamizi wa Mazingira(NEMC).

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI June 23, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ZIARA YA MKURUGENZI MTENDAJI YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KATIKA HOSPITALI YA WILAYA

    June 27, 2025
  • BONANZA LA MICHEZO LA WATUMISHI KATI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA, BUNDA DC NA TC

    June 16, 2025
  • MRATIBU WA MRADI WA BCRAP ATAJA VIPAUMBELE VITAKAVYOENDA KUTEKLELEZWA KWA AWAMU YA PILI YA MRADI

    June 11, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 300 ZA POKELEWA KATIKA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUHIMILI ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIA NCHI

    June 09, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda