• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

Posted on: April 3rd, 2025


Katika kikao kazi cha tathmini ya Maendeleo ya elimu na utoaji wa tuzo divisheni ya elimu Sekondari imetoa tuzo hasi na chanya kwa shule zilizofanya vizuri katika ufaulu wa matokeo ya kidato cha pili na cha NNE, na tuzo hasi imetolewa kwa shule iliyoshuka ufaulu kwa mwaka 2024.


Pia, divisheni ya elimu Sekondari imetoa zawadi MBALIMBALI kwa walimu na maafisa elimu kata waliosimamia vizuri shule zao na kupandisha ufaulu katika matokeo ya kidato cha pili na cha NNE KWA MWAKA 2024.


Zawadi na tuzo hizo zilitolewa siku ya tarehe 2/4/2025 katika ukumbi wa chuo cha ualimu Bunda na mgeni rasmi alikuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda Ndugu Salum Mtelela, kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mh. Aswege Enock Kaminyoge.


Ndugu Mtelela alisema lengo la kikao kazi hiki ni kutathmini maendeleo ya elimu na kuwapa motisha wale ambao wameshindwa kupata zawadi katika shule zao, ili mwakani waweze kuongeza mbinu na ufanisi ili waweze kufanya vizuri.


Zawadi hizo zilitolewa kwa shule na kwa Mwalimu mmojammoja kulingana na ufaulu wa somo lake, hivyo walimu wametakiwa kuongeza juhudi katika ufundishaji wao ili waweze kufaulisha wanafunzi wengine zaidi, nao maafisa elimu kata wametakiwa kuhakikisha wanafanya KAZI yao ipasavyo kwa kuhakikisha wanasimamia maendeleo yote ya elimu, ufuatiliaji wa watoto watoro shuleni kwa kushirikiana na Afisa Mtendaji kata na kuhamasisha suala la uchangiaji wa chakula shuleni.


Kauli mbiu: "Ufundishaji na Ujifunzaji unaozingatia malengo ni msingi wa kuongeza ubora wa ufaulu".

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI June 23, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DKT BWIRE AFADHILI VIFAA VYA MICHEZO KWA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    August 18, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI MARA

    August 15, 2025
  • TIMU YA HALMASHAURI YAAGWA RASMI KUELEKEA MASHINDANO YA SHIMISEMITA, TANGA

    August 14, 2025
  • WAIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI MKUU 2025 NGAZI YA KATA WALA KIAPO CHA KUTUNZA SIRI NA KUJITOA KATIKA CHAMA CHA SIASA

    August 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda