• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU WA MKOA WA MARA AFANYA ZIARA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

Posted on: November 1st, 2019

Mkuu wa  Mkoa wa Mara Mh Adam Malima amefanya ziara katika halmashauri ya Wilaya ya Bunda na kukagua ujenzi wa barabara inayoanzia Bulamba mpaka Kisorya.

Ambapo alimsisitiza  Mkandarasi kukamilisha ujenzi wa  barabara hyo kwa haraka kufikia Aprili  2020.


Aidha Mkuu wa Mkoa alitembelea kituo cha afya Kisorya na kukagua majengo mapya ya kituo hicho ambapo inaonesha kukamilika kwa asilimia  tisini na tisa yamekamilika. Pamoja na mambo mengine alibaini kutokuwepo kwa umeme katika baadhi ya majengo na maji ya uhakika hasa katika jengo la  wazazi.Hivyo alitoa agizo kwa  Mkurugenzi wa halmashauri ya Bunda kuhakikisha huduma hizo zinapatikana haraka iwezekanavyo kwani Kuna baadhi ya majengo hayajaanza kutumika kwa sababu ya changamoto ya  ukosekanaji wa huduma hizo.


Mkuu wa Mkoa alitembelea Makao Makuu mapya ya halmashauri ya Wilaya ya Bunda ambayo yamehamia rasmi katika  ya Kata ya Kibara, ofisi za Tarafa ya Nansimo tarehe 24/10/2019 ikiwa ni utekelezaji wa agizo  la  Mh Rais kuwa   kila halmashauri ihamie katika eneo lake la kiutawala. Aidha mkuu wa Mkoa alikagua ofisi katika Makao Makuu  mapya ya Halmashauri ya Wilaya  Bunda na kukutana na Changamoto ya baadhi ya majengo kutokua  na umeme  hivyo  akamuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Bunda kutatua  changamoto hiyo ikiwa  ni pamoja  na  kuhakikisha kuwa vyumba vyote vya ofisi za Makao Makuu zinakua na vitendea kazi muhimu vitakavyo wawezesha Watumishi kutoa  huduma kwa wananchi.


Mwisho Mkuu wa Mkoa  aliongea na watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Bunda na kuwagiza watumishi wote wahakikishe kuwa wamehamisha huduma kutoka Makao Makuu ya zamani  kwenda Makao Makuu mapya.

Matangazo

  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA KATIKA SHULE YA SEKONDARI SALAMA December 17, 2020
  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA KATIKA SHULE YA SEKONDARI MWIBARA December 17, 2020
  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA KATIKA SHULE YA SEKONDARI CHITENGULE December 17, 2020
  • FOMU YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA KATIKA SHULE YA SEKONDARI MURANDA December 17, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Shule za Msingi,Mugeta,Sanzate na Nyamitwebili zilipo Halmashauri Wilaya ya Bunda yanafuika na jengo la Maktaba yaliyofadhiliwa na Shirika lisilo la Serikali PCI

    December 19, 2020
  • Halmashauri Ya Wilaya ya Bunda ya Zindua Mkutano wa Kwanza wa Baraza la Madiwani.

    December 17, 2020
  • Halmashauri ya Wilaya ya Bunda,Butiama ,Serengeti na Musoma Dc yanufaika na Mafunzo ya TARI

    December 05, 2020
  • Halmashauri ya Wilaya ya Bunda yaadhimisha siku ya Ukimwi Duniani.

    December 04, 2020
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020 Bundadc
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019
  • Sekretarieti ya Ajira
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Mara Secretariet

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kilimani Street

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0677002976

    Hamishika: 0783669938

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda