• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA SIASA WILAYA YAFANYA MAJUMUHISHO YA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI.

Posted on: March 18th, 2025

Kamati ya siasa Wilaya ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi Wilaya ya Bunda Ndugu. Mayaya Abraham, siku ya tarehe 18/03/2025 wamefanya kikao cha majumuhisho ya ziara iliyofanyika katika majimbo matatu yaliyopo Wilaya ya Bunda.

Akifungua kikao hicho Ndugu. Mayaya amesema kamati ya siasa imekuwa na utaratibu wa kutembelea na kukagua maendeleo ya miradi inayotekelezwa katika majimbo yote matatu, ambayo ni jimbo la Mwibara, Jimbo la Bunda Mji na Jimbo la Bunda.

Katika kikao hicho kamati iliwasilisha taarifa ya ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo katika Wilaya ya Bunda na kutoa maelekezo ya jumla katika utekelezaji wa miradi hiyo.

Aidha, Ndugu Mayaya amewataka wakuu wote wa Idara na vitengo kushirikiana na Mkuu wa Wilaya katika kutekeleza majukumu yao ili kurahisisha utendaji kazi na kepuka sitofahamu zisizo za lazima katika Wilaya ya Bunda.

“Sisi kama chama tutashirikiana na Mkuu wa Wilaya pamoja na watumishi wote ili kuhakikisha tunawekana sawa” Amesema Mayaya

Kwa upande wake Mkuu wa Wialaya ya Bunda Mh. Aswege Enock Kaminyoge, ameahidi kutekeleza na kufuata maelekezo yote yaliyotolewa na kamati ya siasa, na kuishukuru kamati hiyo kwa utendaji kazi mzuri na umahiri wa kufuatilia na kukagua miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika wilaya ya Bunda.  

Pia, amezishauri kamati za fedha za Halmashauri zote mbili kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia kanuni na taratibu pasipo ubaguzi, upendeleo na hofu.

Hatahivyo kikao hicho kilihudhuriwa na Kamati ya siasa,Mkuu wa Wilaya ya Bunda,Katibu tawala wa Wilaya ya Bunda pamoja na wakuu wa vitengo wa Halmashauri na Wakuu wa taasisi za serikali.

                            

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • TIMU YA WATAALAMU WA TATHIMINI NA UFUATILIAJI WA MIRADI YA MAENDELEO WAFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI

    March 27, 2025
  • MKUU WA WILAYA ATETA NA VIONGOZI WA HALMASHAURI NA WA TAASISI

    March 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda