• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ELIMU IENDELEE KUTOLEWA KWA VIJANA RIKA BALEHE.

Posted on: May 31st, 2025


Halmashauri ya Wilaya ya Bunda imeadhimisha siku ya hedhi Salama Duniani, ambapo maadhimisho yamefanyika siku ya tarehe 30/5/2025 katika kituo cha Afya Ikizu. Na mgeni rasmi alikuwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Ndugu Oscar J. Nchemwa.


Maadhimisho ya siku ya hedhi Salama Duniani huadhimishwa Kila tarehe 28/5 ya Kila mwaka, na mwaka 2025 maadhimisho yalibeba kauli mbiu isemayo: " WEZESHA MAZINGIRA YA HEDHI SALAMA YENYE UTU KWA WASICHANA NA WANAWAKE WOTE."


Mratibu wa huduma za Afya na mtoto wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Bi. Elizabeth Boniface alisema, katika kuadhimisha siku hii ya Leo wameshiriki katika shughuli mbalimbali ambazo ni kutoa elimu juu ya hedhi Salama katika shule za Chisorya, Makongoro, Esperanto, Mihingo, Chamriho na Mariwanda ambapo jumla ya wanafunzi 566 walipata elimu.


Bi. Boniface alisema, mada ambazo walizifundisha kwa wanafunzi hao ni mabadiliko yanayojitokeza Kila awamu ya mzunguko wa hedhi na usafi wakati wa hedhi.


" Shule zote zina walimu wa Afya ambao wanashirikiana na wataalamu wa huduma za Afya katika kutoa elimu juu ya Afya ya uzazi na Kuna baadhi ya shule wamekuwa wakitoa taulo za kike shuleni. Pia, wamekuwa na huduma rafiki kwa vijana ambazo zimeimarishwa katika ngazi za jamii, Kila kata kumekuwa na kijana Mmoja ambaye amekuwa ni muelimisha rika katika elimu ya hedhi Salama kuhakikisha inafika ngazi za jamii." Alisema.


Ndugu Nchemwa alisisitiza kuhakikisha elimu ya Afya inaendelea kutolewa kwa vijana rika balehe ili waweze kuwa na elimu ya kutosha ya namna ya kukabiliana na madiliko ya hedhi Kila mara, na pia kuwa wasafi muda wote pale wanapokuwa katika kipindi cha hedhi kwani kitawasaidia kuepukana na magonjwa ya U.T.I na kuumwa tumbo kutoka na kutokuwa wasafi.


Sasa hivi shule zote katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda zimetengeneza eneo maalumu kwa ajili ya wasichana kuweza kujihifadhi wakati wa kipindi cha hedhi, na pia Kila shule kuhakikisha inakuwa na maji Salama ili waweze kujisafisha muda wote.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ELIMU IENDELEE KUTOLEWA KWA VIJANA RIKA BALEHE.

    May 31, 2025
  • WAUGUZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI

    May 30, 2025
  • ELIMU IENDELEE KUTOLEWA KWA WANUFAIKA WA MRADI WA BCRAP

    May 15, 2025
  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda