• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DKT BWIRE AFADHILI VIFAA VYA MICHEZO KWA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

Posted on: August 18th, 2025

Muwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, ambaye ni Kaimu Mkuu wa kitengo cha Utamaduni, Sanaa na Michezo, Ndugu. Eustace Kabwogi siku ya tarehe 16/8/2025 alipokea vifaa vya michezo kutoka kwa mdau wa maendeleo Dkt. Masinde Bwire.


Dkt. Bwire alisema, lengo la kufadhili vifaa hivi kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda ni kuinua vipaji mbalimbali vilivyopo katika Halmashauri, kwa kuhakikisha Halmashauri kupitia Kitengo cha Utamaduni Sanaa na Michezo kinaunda timu kuanzia ngazi za vitongoji, vijiji hadi kata, hii yote ni kwa ajili ya kuwasaidia vijana wa kiume na kike walipo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.


"Leo hii tumeanza na kata hii ya Namuhula kwa kuleta vifaa vya michezo, na ninawaahidi na kiwahakikisha nitaendelea kuwafadhili vifaa vingine vya michezo katika Kata zote zilizopo katika Jimbo hili la Mwibara, tunataka tuwe na mechi na mashindano ya Kila mwaka katika kuhakikisha tunawainua vijana waliopo katika Halmashauri." Alisema Dkt.Bwire.


Ndugu Kabwogi alimshukuru Dkt Bwire kwa vifaa ambavyo ameweza kuvileta katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, hususani katika Kata ya Namuhula, hivyo amemuahidi na kumuahikikishia kuvisimamia vifaa hivyo kwa kuhakikisha vinatunzwa na kuvisimamia vijiji na vitongoji kuhakikisha vinaunda timu ambazo zitaenda kuunda timu ya Jimbo.


Naye Mwenyekiti wa Kata ya Namuhula, kwa niaba ya wananchi wote alimshukuru mdau kwa kuweza kuwaletea vifaa hivyo na Mkurugenzi Mtendaji kukubali kufadhiliwa vifaa vya michezo katika Kata ya Namuhula, aliahidi kuhakikisha anavisimamia vitongoji vyote vilivyopo katika Kijiji chake kuhakikisha vinaunda timu zilizo imara kwa ajili ya kupata timu Moja ya Kijiji.


Ndugu Kabwogi alisema, vifaa vilivyopokelewa ni jozi 5 za jezi kwa wanaume, mipira 18 na viatu 11 ambavyo vitaenda kugawiwa katika Kila kitongoji na kijiji kilichopo katika Kata ya Namuhula kwa ajili ya kuanza maandalizi ya kuunda timu za vijiji.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WATENDAJI KATA NA MIJI WAAGIZWA KUENDELEA KUWEKA MSISITIZO KATIKA UHAMASISHAJI WA UCHANGIAJI WA CHAKULA SHULENI

    September 09, 2025
  • HALMASHAURI YAADHIMISHA JUMA LA ELIMU YA WATU WAZIMA NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI

    September 05, 2025
  • ELIMU IENDELEE KUTOLEWA KWA WANANCHI KULA VYAKULA VYENYE LISHE ILI KUPUNGUZA UTAPIAMLO

    September 05, 2025
  • TMDA WATOA ELIMU KWA WATUMISHI WA AFYA JUU YA UTOAJI WA TAARIFA ZA MADHARA NA MATUKIO YA VIFAA TIBA NA VITENDANISHI.

    August 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda