• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIARA YA MKURUGENZI MTENDAJI YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: February 19th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Bw. George S. Mbilinyi   siku ya tarehe 19/02/2025 ametembelea na kukagua miradi mbalimbali ya elimu inayoendelea kutekelezwa katika Halmashauri  kwa lengo la kuona maendeleo na kuhakikisha miradi hiyo  inajengwa kwa ubora na kukamilika kwa wakati.

Katika ziara hiyo Mkurugenzi Mtendaji aliongozana na baadhi ya wakuu wa Idara pamoja Muhandisi wa Halmashauri na miradi waliyotembelea na kukagua ni pamoja na ukamilishaji wa bweni la wasichana shule ya sekondari Nyamanguta, ujenzi wa nyumba mbili za walimu (2in1) shule ya msingi Sabasita ambapo nyumba moja ya (2in1) ipo hatua ya upauaji na nyumba nyingine imeshawekwa kenchi,  ujenzi wa shule mpya ya sekondari ya Amali iliyopo katika Kijiji cha Manchimweru na majengo yapo katika hatua mbalimbali za ujenzi, majengo mengine yapo hatua ya ufungaji lenta,uwekaji kenchi, na mengine yapo hatua za ujenzi wa msingi.


Pia, walitembelea na kukagua ujenzi wa shule ya sekondari Nyaburundu, ukamilishaji wa vyumba vitatu vya madarasa katika shule ya msingi Salama A pamoja na ukamilishaji wa matundu manne ya vyoo ambapo ujenzi upo katika hatua ya uwekaji wa milango na madirisha katika vyoo na madarasa, uwekaji wa vigaye katika vyumba vya madarasa na upigaji wa rangi.


Walitembelea na kukagua ujenzi wa shule ya msingi Nyansirori ambapo ujenzi wa majengo hayo upo katika hatua mbalimbali za ukamilishaji, pia, walitembelea na kukagua ukamilishaji wa nyumba za walimu katika shule ya sekondari Mariwanda ya (2 in 1)


Walihitimisha ziara hiyo kwa kutembelea na kukagua ujenzi wa mabweni manne katika shule ya sekondari Chamriho ambapo mabweni mawili yapo hatua ya ufungaji lenta na mawili yapo hatua ya umwagaji jamvi. Pia, walitembelea na kukagua ukamilishaji wa bweni katika shule ya sekondari Hunyari.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda