• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: June 3rd, 2025


Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mh. Aswege Enock Kaminyoge siku ya tarehe 2/6/2025 alifanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya Maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda inayoendelea kutekelezwa.


Mh. Kaminyoge aliongozana na kamati ya usalama ya Wilaya, Katibu Tawala wa Wilaya, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, pamoja na baadhi ya wataalamu wa Halmashauri.


Katika ziara hiyo Mkuu wa Wilaya alitembelea ukamilishaji wa shule ya Sekondari Mayolo, Chanzo cha maji kilichopo Bulamba ambacho kinasambaza maji yake hadi Kijiji cha jirani cha Kabainja, pia, alitembelea na kukagua ukamilishaji wa daraja lililopo Mariwanda- Steven Wasira, nyumba za walimu ( 2 in 1) katika shule ya msingi Sabasita, na ukamilishaji wa Madarasa matatu na matundu sita ya vyoo katika shule ya msingi Igundu.

Mh. Kaminyoge aliridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa miradi hiyo, na alimuagiza Mkurugenzi Mtendaji kuhakikisha anarekebisha kasoro ndogo ndogo zilizoonekana katika baadhi ya miradi, wakishirikiana na Mhandisi wa Halmashauri, kwani kwenye baadhi ya majengo yalionekana kuwa na changamoto chache ambapo alitoa siku 14 kuhakikisha changamoto hizo zinarekebishwa na kuikabidhi miradi hiyo.


Aidha, katika ziara hiyo, Mh. Mkuu wa Wilaya alikamata dhana haramu za uvuvi wa samaki kwa jina maarufu kokoro katika ufukwe wa Bulamba, ambapo walikuwa wakitumia kuvua samaki kwa kutumia nyavu hizo.

Mh. Kaminyoge alikemea uvuvi haramu unaoendelea katika ziwa Viktoria kwani ndio umekuwa Chanzo cha kukosekana kwa samaki kutokana na watu kuvua samaki ambao Bado hawajakomaa na kuwa tayari kwa kitoweo.


Mkuu wa Wilaya aliagiza kukamatwa kwa nyavu hizo na kuhakikisha hatua Kali za kisheria zinachukuliwa ili kukomesha uvuvi haramu katika Ziwa Viktoria.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI June 23, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ZIARA YA MKURUGENZI MTENDAJI YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KATIKA HOSPITALI YA WILAYA

    June 27, 2025
  • BONANZA LA MICHEZO LA WATUMISHI KATI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA, BUNDA DC NA TC

    June 16, 2025
  • MRATIBU WA MRADI WA BCRAP ATAJA VIPAUMBELE VITAKAVYOENDA KUTEKLELEZWA KWA AWAMU YA PILI YA MRADI

    June 11, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 300 ZA POKELEWA KATIKA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUHIMILI ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIA NCHI

    June 09, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda