• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIARA YA KATIBU TAWALA MKOA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

Posted on: October 13th, 2023

Katibu Tawala Mkoa wa Mara Ndugu Msalika Makungu alitembelea na kukagua miradi mbalimbali ya ujenzi inayoendelea katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda siku ya tarehe 12/10/2023.

Katibu Tawala alisema, Serikali ina sera ya kuanzisha Zahanati kwa kila Kata katika Halmashauri zote nchini na ndio maana wamekuwa wakitoa fedha kwa kila Kata kuhakikisha ujenzi wa Zahanati unakamilika kwa wakati na Wananchi wanapata huduma zilizo bora.

Katibu Tawala Mkoa, akikagua Hospitali ya Wilaya iliyopo katika Kata ya Nyamuswa, Kijiji cha Bukama.

“Lakini kitu cha muhimu tunachoangalia ni wingi wa wahitaji wa huduma hiyo, maana unaweza peleka sehemu huduma ya kituo cha Afya wakati hakuna uhitaji katika eneo hilo, hivyo alimshauri Mkurugenzi Mtendaji kabla hawajaanzisha mradi wowote katika Kata ama Kijiji kwanza waangalie na wingi wa wahitaji katika eneo hilo na sio kuanzisha miradi ambao mwisho wake ni hasara kwa serikali na kuongeza majengo yasiyohitajika”. Alisema Ndugu Makungu.


Katibu Tawala Mkoa, akikagua maendeleo ya Ujenzi wa Shule ya Mkoa ya Wasichana iliyopo katika Kijiji cha Bulama, Kata ya Butimba.

Naye, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Bi. Changwa M. Mkwazu alimwambia Katibu Tawala katika Zahanati alizotembelea na kukuta bado kidogo ukamilishaji wake, Halmashauri imewawezesha sehemu ya mapato ya ndani kuhakikisha wanazikamilisha kwa wakati, hadi mwisho wa mwezi wa Kumi zote ziwe  zimeshaanza kutoa huduma kwa Jamii.


Zahanati ya Ragata


Katibu Tawala Mkoa, akikagua Zahanati ya Ragata ambayo ipo katika hatua za ukamilishaji.

Miradi aliyotembelea ni pamoja na Hospitali ya Wilaya iliyopo Nyamuswa katika Kijiji cha Bukama, Zahanati ya Kyandege, Ujenzi wa Shule ya Mkoa ya Wasichana iliyopo katika Kijiji cha Bulamba, Kata ya Butimba, Zahanati ya Ragata, Shule mpya ya Sekondari ya Ragata iliyopo Kata ya Kasuguti, Zahanati ya Neruma iliyopo Kijiji cha Neruma, Kata ya Neruma na Jengo jipya la Utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda