• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Wiki ya Elimu yaadhimishwa Wilayani Bunda

Posted on: October 13th, 2017

Wiki ya Elimu kwa Mwaka 2017 imeadhimishwa Mkoani Mara katika Wilaya ya Bunda ambapo Wanafunzi toka Halmashauri zote 9 za Mkoa wa Mara walijumuika pamoja katika kuadhimisha siku hiyo. Wanafunzi hao waliambatana na Viongozi mbalimbali toka katika halmashauri zao ikiwa ni pamoja na Wakurugenzi Watendaji, Maafisa Elimu na Wadua mbali mbali wa Elimu katika halmashauri hizo. Pia, timu ya uratibu toka ngazi ya mkoa ilishiriki kikamilifu ikiongozwa na Afisa Elimu Mkoa wa Mara. Jumbe mbalimbali toka kwa Wanafunzi hao ziliwasilishwa kupitia Ngonjera, Nyimbo, Mashairi, nk na kupokelewa na Mgeni rasmi na wadau mbalimbali wa Elimu kwa ajili ya kufanyiwa kazi.

Kaulimbiu ya maadhimisho hayo ilikuwa ni "Inua Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu, Jenga Uchumi wa Kati Mkoa wa Mara" ambapo kauli mbiu hiyo ilikuwa inaunga mkono juhudi za Rais katika kuhakikisha kuwa Taifa linakuwa na Wasomi watakaosaidia Taifa kufikia uchumi wa Kati.

Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara Dr. Charles Mlingwa ambaye kutokana na kubanwa na majukumu mengine aliwakilishwa na Mkuu wa Wilaya ya Bunda Ndg. Lidya Bupilipili. Pamoja na mambo mengine, hotuba ya Mgeni rasmi ilisisitiza juu ya Walimu kujituma zaidi katika kuwasaidia Wanafunzi wao kielimu na Wanafunzi pia kutakiwa kujifunza kwa bidii ili kufikia malengo ya kitaifa ya elimu bora kwa wote. Wazazi nao hawakuachwa nyuma katika kuhakikisha kuwa wanawapeleka watoto wao shule, kuwasimamia na kuhakikisha kuwa muda mwingi unatumiwa shuleni badala ya kufanya shughuli za nyumbani na hivyo kuwanyima watoto muda na ari ya kuzingatia masomo shuleni.

Maadhimisho hayo pia yalihusisha Wadau muhimu wa Elimu mkoani Mara ambao ni pamoja na PCI, Right to Play, nk.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda