• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WATUMISHI WA HALMASHAURI WASHIRIKI KATIKA SIKU YA MAZOEZI KITAIFA

Posted on: December 9th, 2017


Watumishi wa halmashauri ya Wilaya ya Bunda wamashiriki katika siku ya mazoezi ya viungo kitaifa iliyofanyika tarehe 9/12/2017. Ushiriki huu ni utekelezaji wa maagizo ya ya kitaifa yaliyotolewa na  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu.

Mazoezi hayo yamefanyika katika uwanja wa sabasaba uliopo eneo la Bunda Mjini. Mazoezi hayo pia yaliwahusisha wananchi wengi waliojitokeza kushiriki katika shughuli hii muhimu kwa mustakabali wa afya zao katika kujiepusha na magonjwa yasiyoambukizwa.

Mazoezi haya pia yamefanyika kama sehemu ya maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Taifa letu ambayo uadhimishwa kila siku ya  tarehe 9 mwezi wa 12. Akiongea na washiriki wa mazoezi na maadhimisho hayo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Bwana Amosy Kusaja amewahimiza watumishi na wananchi wote kwa ujumla kuhakikisha wanashiriki kikamilifu katika kutekeleza maagizo mbalimbali  yanayotolewa na viongozi wa kitaifa ikiwa ni pamoja na kushiriki katika siku ya usafi kitaifa ambayo hufanyika kila jumamosi ya mwisho ya kila mwezi. Pia aliwataka wananchi wote kuhakikisha wanatambu  na kuzienzi harakati za Hayati Baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika kupigania Uhuru wan chi yetu uliopatikana kwa njia ya amani bila ya kumwaga damu mnamo tarehe 9/12/1961.

Akihitimisha siku hii ya mazoezi na maadhimisho ya siku ya Uhuru wa nchi yetu, mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Bunda Bwana Josephat  Wambura aliwahimiza wananchi wote  wenye umri wa kuanzia miaka 18 kuhakikisha wanashiriki katika zoezi la utoaji wa vitambulisho vya kitaifa linaloendelea kwa sasa katika Wilaya ya Bunda.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda