• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Wakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda waanza kupata Huduma Katika Hospital ya Wilaya

Posted on: July 18th, 2020

Hospitali Mpya ya Wilaya ya Bunda  Mkoani Mara iliyojengwa katika kijiji cha Bukama,Kitongoji cha Misheni  Kata ya Nyamswa imeanza rasmi kutoa huduma kwa Wananchi wa Halmashauri hiyo baada ya kukamilika kwa ujenzi wa miundombinu  kwa awamu ya kwanza ambapo Zaidi ya bilioni 1.5 zilitumika na  kiasi cha shilingi milioni 300 zimetolewa kwa awamu ya pili kwaajili ya ujenzi huo.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa utoaji huduma kwa wananchi  Kaimu Mkurugenzi Mtendaji   Bw.Stafa Nashoni ameipongeza Serikali ya Awamu ya tano kwa kufanikisha ujenzi wa hospitali hiyo kwaajili ya kusaidia wananchi wasiende kufuata huduma mbali.

Nashon ameeleza Zaidi kuwa jumla ya shilingi,bilioni 1.5 zimetumika kwaajili ya kukamilisha miundombinu na serikali imeongeza jumla ya shilingi milioni 300 kuendeleza ukamilishaji wa miundpombinu katka hospital.

“Tunamshukuru Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa kutuletea fedha za ujenzi wa hospital ya wilaya na leo watu wanapata huduma.”

Aidha  Bw.Nashonin  amewashukuru wananchi wa kijiji cha Bukama kwakujitolea ardhi yao bure kwaajili ya ujenzi wa hospitali ,lakini pia ushiriako wanaoutoa wakati wa utekelezaji mradi huo.”asanteni na mbarikiwe”

 Akiongewa kwa niaba ya wananchi wa  Nyamswa   Bw.John Nyamonge amesema tumeipokea hospital hii kwa mikono miwili na tupo tayari kushirikiana na watumishi kama ilivokua wakati wa ujenzi.

“Sisi kama wanajamii tunakazi moja ya kulinda hospital hii kw azote”

Tunatoa shukrani za Dhati kwa Serikali ya Awamu ya tano chini ya Dkt.John Pombe Magufuli kwa kutuletea huduma hii karibu.

Halmashauri ya Wilaya ya Bunda ina  Hospital  Moja , vya Afya vitano,na Zahati Ishirini na Sita.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda