• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Msimamo wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Kwa Watendaji,Walimu wa Kuu na Waganga wafawidhi katika kusimamia Miradi ya Maendeleo.

Posted on: October 20th, 2021

Mkurugenzi  Mtendaji  wa Halmashauri  ya Wilaya ya Bunda Bi.Changwa Mkwazu amewataka Watendaji Kata,Maafisa Elimu Kata ,Walimu Wakuu na Waganga wafawidhi   kufanya kazi kwa uwajibikaji Ili kukamilisha miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao.

Hayo amesema Oktoba 20, 2021 katika kikao cha kuweka mikakati ya kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya Uviko-19 kupitia fedha zilizoletwa na Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan.

Bi.Mkwazu amewataka Waganga Wafawidhi ,Walimu wakuu na Watendaji  Kata kuepuka majaribu  yeyote yatakayo kwamisha kufanikisha kwa utekelezaji wa miradi hiyo.

“Rushwa,Uzembe na kutojali miradi husababisha miradi  kukwama,Ofisi ya Mkurugenzi  haitamvumila  yeyote atakayekwamisha miradi isiendelee’'amesema Bi.Mkwazu

Aidha Bi.Mkwazu amesisitiza kuwa miradi inatikiwa kuisha kwa haraka na kuwa na viwango kwa kuzingatia miongozo ya Force Akaunti.

“Nasisitiza kufuata taratibu zote za manunuzi pamoja na utunzaji wa nyaraka hii itasaidia hata katika ukaguzi"amesema Bi.Mkwazu

Naye , Bertha Sayi Mwalimu  Shule ya Sekondari Salama ametoa   shukrani ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji  wa Halmashauri  ya Wilaya ya Bunda kwa kutoa uelewa wa pamoja wa namna  yakufanikisha kutekeleza miradi ya maendeleo.

“kupitia kikao hiki naamini wote tutafanikiwa kwa pamoja"amesema Mwal.Sayi

Mwalimu Bertha ametoa rai kwa Walimu  Wakuu wengine,Watendaji Kata na Waganga wafawidhi kushirikiana na kuwajibika ili  kuhakikisha miradi inakamalika kwa viwango vya hali ya juu

“Ni wajibu wetu  kufanya kazi kama timu ili tuweze kufanikiwa,sambamba na hilo tuweke wazi hali ya mapato na matumizi ili kuepusha migogoro na Wananchi “amesema   Mwal.Bertha

Kwa hatua ingine Bi.Mkwazu ametoa Shukrani kwa Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe.Samia Suluhu Hassan kwakutoa Tshs. 2,550,000,000 fedha kwaajili ya ujenzi wa miundombinu ya vyumba vya madarasa 67, ujenzi wa jengo la huduma za dharura,ujenzi wa jengo la ICU na Nyumba za Watumishi naTshs.250,000,000 zilizotokana na Tozo ya mialama ya simu  kwaajili ya ujenzi wa kituo cha afya Kijiji cha Isanju kata ya Iramba.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda