• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkuu wa Wilaya ya Bunda ahamasisha Wananchi wa Kata ya Nyamihyolo kujenga Shule ya Sekondari,aonya migogoro.

Posted on: January 10th, 2020


Mkuu wa Wilaya yaBunda Mh Lydia Bupilipili amehamasisha wananchi wa Kata ya Nyamihyolo kujenga Shule ya Sekondari ambapo ujenzi huo utagharamiwa na  nguvu za Wananchi wa Kata hiyo katika kuunga mkono juhudi za Serikali ya Awamu ya tano chini ya Dkt.John Pombe Magufuli.

Akizungumza katika Mkutano wa hadhara  Januari8,2020 katika eneo la Nyamitwebili alisema ilikujenga kizazi bora lazima kuwepo na msingi  mzuri wa elimu kwa kizazi tulichonacho ambacho kitaleta manufaa ya sasa na baadae.

Wanafunzi wanatembea umbali mrefu kufuata Shule,hivyo nawaagiza wananchi wa Nyamihyolo kupeleka nguvu kazi katika ujenzi wa shule ya Sekondari  ya kata ili wanafunzi wasitembee umbali mrefu.alisema Bupilipili

Pamoja na changamoto zilizokuwepo baina ya Wananchi  wa Nyamihyolo kuhusu eneo ambalo litajengwa Shule ya Sekondari,pia Mh Bupilipili aliwasihi  Wananchi hao  kumaliza mgogoro wao kwa haraka ili kuweza kukamalisha ujenzi huo.

Naye ,Afisa Elimu Bwa.sylvester A.Mrimi aliwahimiza wazazi kuendelea kuhamasika kupeleka watoto wakike shule ili kuwajengea maisha bora ya  baadae.

" Wananchi wa Nyamihyolo  endeleni kutoa hamasa  kwa ujenzi wa Shule  ili uweze kukamilika kwa haraka."kama kuna familia ipo hapa haifikirii mtoto wake  kupata maarifa basi mzazi huyo hapendi maendeleo ya mtoto wake"

Madarasa manne yatasaidia kuanzia ili watoto wakidato Cha kwanza waweze kusoma.alisema afisa elimu.

Aidha,Kaimu Katibu tawala wa Wilaya  Bwa.Jonas Nyehoji alisema  umoja Ni nguvu utengani ni udhaifu ni vyema kuunganisha nguvu kwa pamoja ili kuweza kuhakikisha  ujenzi wa Shule unakamalika kwa haraka ili watoto waanze kutumia madarasa hayo.

Pia  Mh Bupilipili alitoa agizo la kusitishwa kwa ujenzi wa Shule  ya Sekondari Nyamitwebili  kutokana na kutokidhi vigezo vya kua eneo la shule kwa kuwepo na mgogoro wa eneo hilo.

akaelekeza vifaa vyote vilivyotolewa kwa ajili ya ujenzi wa Shule hiyo vipelekwe eneo la Mihyolo ambalo Shule itajengwa, viongozi kutoa mrejesho wa vikao ambavyo wanawakilisha Wananchi ili kuondoka sitofahamu kwa Wananchi na watalaamu wa Halmashauri wakishirikiana na wakaguzi wa  ubora wa shule kufanya tathmini upya ya maeneo yaliyopendekezwa kujengwa Shule.

Kata ya Nyamihyolo ina vijiji vitatu ambavyo ni Nyamitwebili,Mahyolo na  Haluzale pamoja na vitongoji 12 vyenye watu takribani5000.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda