• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Bunda wapitisha rasimu ya mpango wa bajeti 2020/2021

Posted on: January 14th, 2020

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Januari 9,2020 limejadili,kuridhia na kupitisha rasimu ya Bajeti yenye zaidi Bilioni 34ikiwa ni makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka ujao wa fedha 2020/2021 ambapo makusanyo ya ndani ya Halmashauri ni zaidi ya bilioni1.

Akiwasilisha makisio na mpango wa bajeti kwa mwaka 2020/2021 katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari Kibara Afisa Mipango kwa niaba ya Mkurugenzi Bi.Julieth Ntuku alisema Halmashauri inatarajia kukusanya kupokea na kutumia zaidi ya bilioni 34 ambapo Kati ya fedha hizo zaidi ya bilioni 22 nifedha kutoka Serikali kuu maalum kwa ajili ya mishahara ya Watumishi, zaidi bilioni 3 zimeelekezwa kwenye miradi ya maendeleo huku zaidi ya bilioni956 kwaajili ya matumizi menginineyo na bilioni 6 maombi maalum kwaajili ya kujenga Jengo la Halmashauri.

Afisa Mipango alitaja Vipaumbele vya bajeti hiyo kwa mwaka wa fedha 2020/2021 kwa kuboresha huduma za afya na lishe katika ngazi ya jamii na Vituo vya huduma za afya kwa kutenga fedha za uratibu,usimamizi na kujenga uwezo wa maswala ya lishe ikiwa ni pamoja na kutenga shillingi 1,000 kwa kila mtoto mwenye umri wa chini ya Miaka mitano kwa ajili ya huduma za lishe, kukamalishaji wa miradi ambayo haikukamilika ikiwemo sekta ya afya na maboma katika Shule ya Msingi na Sekondari,Kuhamasisha kilimo hasa cha alizeti,kuimarisha shughuli za kuinua Uchumi wa wananchi na kuimarisha miundombinu, pamoja na kutenga fedha za kutosha kwaajili ya kulipa mishahara ya Watumishi na kuajiri Watumishi wapya.

"Mhe.Mwenyekiti rasimu hii ya mpango wa Bajeti ya Halmashauri ni makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2020/2021, rasimu hii itaendelwa kujadiliwa na kupatiwa ushauri kwenye vikao vya ngazi ya Mkoa,Ofisi ya Rais TAMISEMI pamoja na Wizara ya Fedha Mipango kabla ya kujadiliwa na kupitisha na Bunge"alisema Bi Ntuku.

Akizungumza wakati wakufunga kikao Kaimu Mwenyekiti ambaye pia ni Diwani wa kata ya Nasimo Mhe.Sabato M.Mafwimbo

amewataka madiwani kutoa ushirikiano kwenye zoezi la ukusanyaji mapato,pamoja na kubaini vyanzo vipya vya mapato iliyasaidie kuharakisha maendeleo kwakuzingatia asilimia 40 ya mapato ya ndani yanatakiwa kuelekezwa kwenye miradi ya maendeleo.

"Mkurugenzi wewe pamoja na timu yako tuendelee kuchapa kazi,tunasifa ya kushirikiana Kati ya timu ya madiwani na watalam u , tuendelee kufanya kazi kwa umoja,uwadilifu na ushirikiano."

Rasimu ya Bajeti 2020/2021 imeandaliwa kwakuzingatia Ilani ya chama tawala(CCM),Mwongozo wa Bajeti mwaka 2020/2021,Mpango wa pili Maendeleo wa Taifa wa Miaka mitano,Malengo ya maendeleo endelevu(SDGs),Dira ya Taifa ya maendeleo ya Taifa 2025,pamoja na mpango Mkakati wa Miaka mitano wa Halmashauri kwa kuzingatia Sheria ya fedha ya serikalin za Mitaa.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda