• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Bunda waitaka TARURA kutatua kero za Barabara

Posted on: April 7th, 2021

Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Bunda wametoa  malalamiko yao kwa wakala wa barabara vijijini na Mjini (TARURA),kwa kushindwa kutekeleza miradi yao kwa wakati.

Malalamiko hayo yametolewa  katika  Mkutano wa Baraza la Madiwani robo ya pili mwaka wa fedha 2020/2021 uliofanyika katika ukumbi wa Kanisa la Kibara Aprili 1,2021.

Akizungumza Diwani wa kata ya Kibara Mhe, Mtamwega Mgaywa amesema kuwa Barabara zinzotengenezwa na TARURA hazina viwango bora hali inayopelekea kuharibika ndani ya muda mfupi hivyo kuwa changamoto kubwa kwa watumiaji.

‘Barabara hizi zimekuwa chini ya viwango mvua inaponyesha kidogo tu barabara inakatika’.alisema mhe Mgaywa

Naye, Diwani wa Kata ya  Chitengule Mhe. Mkama Brown amemuomba Meneja wa TARURA kutembelea katika vijiji na kuacha kukaa ofisini ili akaone changamoto zinazo wakabili Wananchi.

Kwa upande wake Meneja wa TARURA Mhandisi Kassim Shabani amewaeleza wajumbe kuwa katika mwaka wa  fedha 2020/2021 TARURA ina mikataba ya shilingi milioni 886 kwaajili ya ukarabati wa miundombinu ya barabara za mjini na vijijini katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

‘Tunaishukuru Serikali kwakuendelea kutupatia fedha kwaajili yakurekebisha barabara zenye changamoto’.alisema Mhandisi Shabani

 TARURA inaendelea matengenezo ya kawaida katika barabara zenye umbali wa kilometa 2 mpaka7 katika Tarafa ya Kenkombyo ambapo asilimia 50 ya ujenzi unaendelea na Tarafa ya Chamriho kilomenta 10  na asilimia 80 ya ujenzi  unaendelea.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 04, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ELIMU YA UTUNZAJI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA YATOLEWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MWIBARA

    June 04, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    June 03, 2025
  • ELIMU IENDELEE KUTOLEWA KWA VIJANA RIKA BALEHE.

    May 31, 2025
  • WAUGUZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI

    May 30, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda