• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika Wilayani Bunda, Mkoa wa Mara

Posted on: June 23rd, 2017

Maaadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika yamefanyika Wilayani Bunda katika Viwanja vya Shule ya Msingi Kambubu, Kijiji cha Kambubu, Kata ya Nyamang'uta, Tarafa ya Chamriho. Maadhimisho hayo yaliyobeba ujumbe mahsusi wa "MAENDELEO ENDELEVU 2030: IMARISHA ULINZI NA FURSA SAWA KWA WATOTO" yalinuia kuikumbusha jamii katika kutekeleza wajibu wake wa kumthamini na kumhudumia mtoto wa Kiafrika ili apate fursa ya kujengewa uwezo kwa ajili ya maisha yake ya baadaye kama walivyo watoto wengine Duniani.

Katika maadhimisho hayo ambayo yaliandaliwa na Shirika la PCI la Marekani kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, mgeni rasmi alitakiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara ila kwa kuwa alibanwa na majukumu mengine, aliwakilishwa na Mkuu Wilaya ya Bunda Ndg. Lidya Bupilipili. Pamoja na mambo mengine, mkuu huyo wa Wilaya alisisitiza juu ya Viongozi na Watendaji ngazi ya Halmashauri, Kata, Vijiji, Shule, Wazazi na Jamii kwa ujumla kuelewa kuwa jukumu la kulea na kuwajengea mazingira mazuri Watoto ni lao na si la Wafadhili na akaendelea kusema kuwa anawashukuru sana watu wa PCI kwa kuiamsha jamii hiyo ili ijitambue na kuchukua hatua. Hivyo akatoa agizo kwa kwa jamii husika kuhakikisha kuwa mila na desturi zinazowanyima watoto fursa ya kujenga maisha yao ya baadaye kama vile kuoza watoto wa kike katika umri mdogo kwa sababu ya kupata mali na kuwakosesha elimu ambayo ndio nguzo kuu ya maendeleo yao kukoma mara moja.

Pia, katika maadhimisho hayo, mgeni rasmi aliweza kuzindua huduma mbalimbali shuleni hapo ambazo zimefadhiliwa na Shirika la PCI kama vile Vyoo Bora, Bustani ya mbogamboga kwa ajili ya kuwawezesha wanafunzi kupata chakula shuleni, Chumba cha darasa la awali kikiwa kimesheheni vifaa mbalimbali vya kujifunzia, Miradi ya kijasiriamali kwa kinamama, nk.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 04, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ELIMU YA UTUNZAJI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA YATOLEWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MWIBARA

    June 04, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    June 03, 2025
  • ELIMU IENDELEE KUTOLEWA KWA VIJANA RIKA BALEHE.

    May 31, 2025
  • WAUGUZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI

    May 30, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda