• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI CHA WILAYA YA BUNDA CHA RIDHIA BARABARA YA BUSAMBALA MUGARA KUPEWA TANROADS.

Posted on: December 7th, 2024

Katika kikao cha kamati ya ushauri cha Wilaya ya Bunda kilichoongozwa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda NduguSalum Khalfani Mtelela siku ya tarehe 6/12/2024 ambaye alikuwa mwenyekiti wa kikao hicho kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mh. Dkt Vicent Anney.

Kikao hicho kilifanyika katika ukumbi wa Malaika uliopo Bunda Mjini na lengo kuu ni kupokea taarifa mbalimbali kutoka katika taasisi zote za Serikali zilizopo katika Wilaya ya Bunda kuzijadili na kuzitolea ufafanuzi kwa wananchi kuhusiana na masuala mbalimbali ya kiuchumi,kielimu,Afya na miundombinu.

Wajumbe katika kikao hicho waliomba na kushauri barabara ya Busambara Mugara iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda,ambayo inaunganisha Wilaya mbili ya Msoma Vijijini na Bunda ambayo ipo chini ya TARURA,kupewa TANROADSili iweze kutengenezwa kwa kiwango cha lami.

Wajumbe walisema sababu ya kuomba barabara hiyo kuchukuliwa na TANROADS ni kwakuwa imekuwa na shughuli nyingi za kiuchumi na kwakuwa inahudumia watu wengi kutoka Wilaya ya Msoma  Vijijini na Bunda.

Mwenyekiti wa kikao hicho NduguSalum Khalfani Mtelela aliwauliza wajumbe wote kama wameridhia ombi hilo la kupewa TANROADS kusimamia barabara hiyo na wajumbe wote waliridhia,hivyo walisema ushauri wamechukua na watauwasilisha kwenye kikao cha ushauri cha Mkoa kinachotarajiwa kufanyika siku ya tarehe 12/12/2024 na Mkoa utakaporidhia ombi na shauri hilo, BARABARA hiyo itaanza kuhudumiwa na TANROADS badala ya TARURA.

Ndugu, Mtelelaaliwasukuru wajumbe wote waliohudhuria kikao hicho na alizishukuru taasisi zote zilizo wasilisha taarifa zao na wajumbe kuweza kuzijadili kwa kina.

Kikao cha kamati ya ushauri cha Wilaya ya Bunda kilihudhuliwa na viongozi wa vyama vya siasa,wakuu wa taasisi za Serikali, kamati ya usalama ya Wilaya, viongozi wa dini,wakuu wa divisheni na vitengo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Mji,Wakurugenzi watendaji wa Halmashauri zote mbili, Wenyeviti wa Halmashauri, Waheshimiwa Madiwani kutoka majimbo yote matatu(Mwibara,Bunda na Bunda Mjini)pamoja na Mbunge wa jimbo la Bunda Mjini, Mh.Roberth Maboto.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda