• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA SIASA YA WILAYA YA BUNDA, YARIDHISHWA NA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA.

Posted on: March 10th, 2025

Kamati ya siasa ya Wilaya ya Bunda ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi Wilaya ya Bunda Ndugu. Mayaya Abraham siku ya tarehe 10/3/2025 aliongoza wajumbe wa kamati kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda kama ilani ya chama inavyoelekeza kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

Katika ziara hiyo, kamati ilitembelea na kukagua miradi ya ujenzi wa madarasa na mabweni yanayoendelea kujengwa katika shule ya Sekondari ya wasichana Mara, ukamilishaji wa bwalo la chakula, pamoja na ukamilishaji wa bweni Moja la awamu ya kwanza katika ujenzi wa shule ya sekondari ya wasichana ya Mara.



Pia, kamati ilitembelea na kukagua maendeleo ya ukamilishaji wa shule ya Sekondari Mayolo inayoendelea kujengwa huku, ujenzi ukiwa katika hatua mbalimbali za ukamilishaji, wajumbe wa Kamati walipongeza na kuridhishwa na ujenzi mzima unavyoendelea.


Wajumbe pia, walitembelea na kukagua chuo cha ufundi Veta, shule ya Sekondari ya Amali iliyopo Makwa, kituo cha Afya Isanju, mradi wa maji Karukekere na pia walitembelea na kukagua barabara ya Busambara Mugara na ukamilishaji wa vyumba vitatu vya madarasa na matundu sita ya vyoo katika shule ya msingi Namibu A.




Katika shule ya msingi Namibu Mwenyekiti wa kamati ya siasa, alimuagiza Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda kuhakikisha vyumba vitatu vya madarasa kutokutumika kutokana na uchakavu wa miundo mbinu yake, hivyo aliagiza ukamilishaji wa vyumba vitatu vilivyopo shule ya msingi Namibu A vikamilike kwa wakati ili wanafunzi waweze kutumia vyumba hivyo.

Wajumbe wa Kamati ya siasa walipongeza na kuridhishwa na usimamizi mzuri wa miradi ya ujenzi wa maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

Kamati ilihitimisha ziara yake kwa kufanya kikao na wananchi wa Kijiji cha Sikiro, ambapo Mwenyekiti wa Chama alimuagiza katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda kuhakikisha anafanya kikao na wanakijiji ili kuweza kujenga mahusiano mazuri kwa ajili ya kudumisha amani ya Kijiji na kukuza uchumi wao.



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 04, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ELIMU YA UTUNZAJI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA YATOLEWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MWIBARA

    June 04, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    June 03, 2025
  • ELIMU IENDELEE KUTOLEWA KWA VIJANA RIKA BALEHE.

    May 31, 2025
  • WAUGUZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI

    May 30, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda