• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango imefanya ziara yakukagua Miradi ya maendeleo

Posted on: May 14th, 2020

Kamatiya Fedha, Uongozi na  Mipango yaHalmashauri ya Wilaya ya Bunda imefanya  ziara ya kutembelea Miradi ya Maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri hiyo. 

Akizungumza wakati wa ziara hiyo Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Mhe. SabathoMafwimbo amewataka wananchi kuonesha ushirikiano ili kuhakikisha miradiinakamilika kwa wakati.

Wito huo ameutoa wakati wa ukaguzi wa mradi wa Ukamalishaji wa Jengo la Wazazi naujezi wa Jengo la upasuaji ambao utagharimu kiasi cha shilingi Milioni 200 Katika Kituo Cha Afya Kasuguti. Amesema jengo hilo likikamilikalitakuwa msaada mkubwa kwa wananchi hivyo ni muhimu wanakijiji kuoneshaushirikiano ili mradi ukamilike kwa wakati.

"Nguvu za wananchi nimuhimu Katika kutoa ushirikiano kwa Serikali"

Pia Mhe. Mafwimbo amemuagiza Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Kijiji ambae piani Diwani wa kata ya Kasuguti Mhe. Alex Msege kuwasimamia wananchi ipasavyo ilikuongeza kasi ya ujenzi.

Miradi mingine iliyotembelewa na kamati hiyo ni pamoja na  Zahanati ya Kihumbu ambayo ujenzi wake umegharimu kiasi cha  shillingi Milioni 109, Milioni 30 zikiwa zimetolewa na wadau wa maendeleo, TANAPA Kama sehemu ya mchango wao Katika  Kijiji hicho. Pia kamati ilitembelea  kituo cha afya Mugeta ambacho kimetengwa kwa ajili na wagonjwa wa COVID-19. 

"Kukamilika kwa zahati ya kihumbu imekua msaada mkubwa hasa kwakina mama na watoto"

Kwa upande wao wananchi wameipongeza serikali kwa kusogeza karibu huduma. Wamesema miradi ya afya ikiwemo zahanati ya Kihumbu imesaidia kwa kiasi kikubwa kuondoa changamoto ya kusafiri umbali mrefu kufuata huduma katika vijiji jirani

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 04, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ELIMU YA UTUNZAJI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA YATOLEWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MWIBARA

    June 04, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    June 03, 2025
  • ELIMU IENDELEE KUTOLEWA KWA VIJANA RIKA BALEHE.

    May 31, 2025
  • WAUGUZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI

    May 30, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda