• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Halmashauri ya Wilaya ya Bunda yatoa Motisha kwa Walimu wakuu wa shule zilizopata matokeo mazuri

Posted on: February 25th, 2020

Halmashauri ya Wilaya ya Bunda  kushirikiana na wadau wa Elimu PCI na Project Zawadi wametoa motisha kwa Walimu wa Kuu wa  shule zilizopata matokeo mazuri  ya  Darasa la nne na Darasa la Saba.

Akizungumza katika hafla ya utoaji tuzo   kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Bunda  Bwa.Nico Kayange 2020, amesema lengo la tuzo hizi ni mkakati wa kujenga hamasa na kuwavuta mioyo Walimu  iliwaendelee kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi,"kwa ninyi walimu ambao hamjapata zawadi kupitia hafla hii naomba mpate hamasa yakufanya vizuri zaidi ili mwaka mwengine mpate"Alimpongeza Afisa Elimu Msingi kwakuja na wazo la kutoa hamasa kwa Walimu ili waendele kufaya vizuri zaidi.

Bwa.kayange alitoa rai kwa walimu kuwa na nidhamu ya kimavazi ,tabia na pia kuwepo na ushirikiano  katika majuku yao na mbali na majukumu yao.Alitoa shukurani za kipee kwa wadau wa elimu  na kuwapongeza walimu wa Shule zilifanya vizuri"Azima yetu tuwe wa kwanza lakini pia tunakemeana mahala ambapo hatujafanya vizuri na hatuwezi kuwa kimya kwa hiki tulichokipata tunayo sababu ya kupongezana"

Naye,mgeni rasmi kwa niaba ya Katibu Tawala Mkoa   Bwa Elisongo Mshiu alisema tukio hili la kihistoria na kipekee,niwapongeze walimu kwakuendelea kujituma kwa bidii na ufanisi,"sisi tunatekeleza Ilani ya chama" kwa  walimu ambao hamjafanya kazi vizuri msikate tamaa jitahidini  mfanye vizuri.alisema Bwa.Mshiu.Aliendelea kusema Serikali haijawasahau wanafunzi wenye uhitaji Maalum bado inatuma vifaa vya kujifunzia bado serikali inafuatilia wanafunzi wenye uhitaji maalum .alitoa agizo kwa walimu kuhakikisha wanafunzi wanapata chakula wakati wakiwa Shule"walimu mtoe hamasa kwa wazazi pamoja na ushirikiano kuhakikisha wanafunzi wanapata chakula shuleni"

Aidha Afisa Elimu Msingi bwa.Reginald Richard aliwataka walimu kuendelea kutekeleza majuku yao kiufanisi pamoja na kufuata taratibu za ufundishaji ili kuweza kupata matokeo mazuri zaidi. Tunashuku serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Mh.Dkt John Pombe Magufuli kwakuweza kupunguza changamoto sekta ya elimu, Tunashukuru wadau wetu wa ELimu PCI na Zawadi Project.]Alisema Bwa Rirchard

Kwa upande wa  Meneja Mradi PCI Bi.Juliana Dyegura Alisema binadamu  yeyote katika kufanya kazi anapenda kupata motisha,katika elimu Kuna  motisha hasi na motisha chanya ambazo kazi yake kubadilisha tabia na kukuza tabia"sisi  Kama shirika lengo  letu kukuza umahili wakusoma,kuandika na kuhesabu"tunaposimama hapa leo kusema Wilaya yetu ya Bunda imefanya vizuri tunashukuru mungu”.Tunapenda kuwapongeza wote waliofanya vizuri,lakini kwa wenzetu ambao hamjafanya vizuri tuendelee kukazana ili tufike mbali zaidi.

Naye,Mwalimu Mwanaidi Zacharia alitoa shukurani za dhati  kwa ofisi ya Mkurugenzi na wadau kwa ujumla,"sisi Kama walimu tumefarijika kwa kilichofanyika siku ya leo  inatupa hamasa kujituma zaidi."

Halmashauri ya Wilaya ya Bunda ina jumla ya tarafa tatu,chamriho,kenkombya na Nanaimo,kata 19 na Shule za Msingi 104 Kati ya hizo shule 100 ni za serikali,Shule 3zinamilikiwa na watu binafsi na shule1 ina milikiwa na kanisa la wasabato.hali ya ufaulu wa Darasa la nne ulipanda kutoka asilimia 87  mpaka asalimia 90  kwa mwaka 2019.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda