• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA YAPATA HATI SAFI

Posted on: July 4th, 2020

Mkuu wa Mkoa   wa Mara Mhe  Adam Malima Kigoma  amepongeza Halmashauri ya Wilaya ya Bunda  kwa Kupata HATI SAFI.Katika ukaguzi wa Hesabu za Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019.

Ametoa pongezi hizo katika  kikao maalumu cha Baraza la Madiwani kujadili hoja za Ukaguzi kikao kilichofanyika katika  ukumbi wa Halmashauri kilichoongozwa na  Makamu Mwenyekiti  wa Halmashauri Mhe, Sabatho Mafwimbo na  Katibu ambaye Kaimu Mkurugenzi Bwa. Stephen Ochieng na kuhudhuriwa na  Kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya na Katibu Tawala wa Mkoa Bi.Karolina Mtapula pamoja na wataalamu wa ofisi yake.

 Bwa.Ochieng ameliambia baraza la madiwani hali ya hoja zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Bunda kufikia Mwezi juni 2019  ilikua na jumla ya hoja 73 za miaka ya nyuma na 36 za mwaka 2018/2019.Katika hoja hizo 73 za miaka ya nyuma,33 zimejibiwa na kufungwa,4zimpitwa na  wakati,17zimjirudia na 14 utkelezaji  wake  bado unaendelea.’’Katika Mwaka wa fedha 2018/2019  Halmashauri ya Wilaya ya Bunda  imepata HATI SAFI’.Alisema Bwa.Ochieng

Naye  Katibu Tawala Mkoa  Bi Karolina Mtapula amewataka watendaji wa halmashauri  kuongeza  ushirikiano na Mkaguzi wa ndani  ilikuepuka hoja nyingi,sambamba na hilo kuhakikisha nyaraka zinazohitajika wakati wa ukaguzi ziwasilishwe kwa haraka.

‘Kila Mkuu wa Idara na vitengo mwenye hoja awajibike katika kujibu hoja kwa  wakati ili eneo lny shida tulifanyi  kazi”.alisisitiza Mtapula

Aidha Mhe.Malima  ameitaka Halmashauri kuongeza nguvu zaidi katika ukusanyaji wa mapato ya ndani na kuhakikisha asilimia 40 zinazotakiwa  kwenda katika mandeleo zipelekwe kwa wakati kwani ni takwa la kisheria.sambamba na hilo kubainisha kiasi cha fedha zilizopo katika POS Sita zilizopotea  pamoja na wahusika warudishe fedha hizo kabla Juni 30,2020.

Malima aliongeza kwa kusema kuwa  halmashauri  ihakikishe kuwa Hati za maeneo  na Majengo wanayomiliki yabainishwe  kabla ya kufikia Juni 30,2020.

Mwisho Malima aliagiza Halmashuri  kushirikiana na Ofisi ya RAS kuhakikisha Malipa ya  Madiwani yanakamilika  kabla ya kufikia Juni30,2020 naelekeza kuwa uhakiki ufanyike  ili kuweza kukamilisha madai yao.

Makamu Mwenykiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda  na Diwani wa kata ya Nansimo Mhe.Sabatho Mafwimbo aliwasisitiza Watumishi wa Halmashauri  kuwa  ni Watu ambao Serikali imewatuma kuwasaidia wananchi wa Bunda  wahakikishe halmashauri isonge mbele katika kuongeza mapato.Amewapongeza kwa namna kila diwani alivoshiriki katika baraza hilo na  kuonesha ukomavu katika kujenga hoja kwa maslahi ya wananchi wa Bunda.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda