• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Halmashauri ya Wilaya ya Bunda yaadhimisha siku ya Ukimwi Duniani.

Posted on: December 4th, 2020

Halmashauri ya Wilaya ya Bunda imeendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kwakuweka mikakati ili kuwapatia huduma wale wote waishio na virusi vya Ukimwi na kudhibiti maambukizi mapya.

Hayo yamesemwa  na Kaimu mratibu wa shughuli za Ukimwi  Dkt Damian Makila  wakati wa ghafla  ya siku ya Ukimwi duniani iliyofanyika katika Kata ya Nyamuswa kijiji cha Nyamuswa.

Dkt.Makila amesema kuwa hali halisi ya virusi vya ukimwi katika Halmashauri ya wilaya ya Bunda ni asilimia 3.8 waliopima virusi vya ukimwi kuanzia Julai hadi Septemba,2020 ni watu 16497 kati ya hao waliogundulika kuishi na virusi vya ukimwi ni Laki moja na elfu sabini na sita.

Dkt makila aliongeza kusema kuwa katika kipindi  cha Septemba  hadi Julai jumla ya wamegundulika wanavirusi vya ukimwi.

Kwa upande wa mgeni rasmi ambae ni Mbunge wa jimbo la Bunda Mhe Boniface Mwita Getere amewaasa wananchi kuichukulia siku hii kwaajili ya kuwakumbusha jinsi ya kujikinga na maambukizi na virusi vya ukimwi nasio kusheherekea nakufanya mambo yanayoweza kuwa chanzo cha ukimwi huku akiwasisitiza kupima afya zao mara kwa mara.

“Leo ni siku ya ukimwi Duniani na ukiwa na ukimwi usiogope kupima wala kusema”alisema Mhe Getere

Pia Mhe Getere ametoa wito kwa wazazi kuacha tabia yakuwatumia watoto wao wa kike  kama njia ya kupata kipato badala yake watoe elimu kwao namna yakujikinga na ukimwi.

“Wazazi na walezi ni ninyi ndio walimu wazuri kwa binti zenu wafundisheni namna yakujikinga na ugonjwa huu”.alisisitiza mhe Getere.

Aidha Maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani  yalienda sambamba na uhamasishaji wa  kampeni wa upimaji VVU,Tohara kwa vijana wa kiume  kuanzia umri wa miaka 10 na kuendelea pamoja na upimaji wa saratani ya shingo kwakina mama.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda