• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Bunda wamepitisha rasimu ya mpango wa bajeti 2021/2022

Posted on: February 27th, 2021

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Feb 24,2021 limejadili,kuridhia na kupitisha rasimu ya Bajeti yenye zaidi Bilioni 34.5ikiwa ni makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka ujao wa fedha 2021/2022 ambapo makusanyo ya ndani ya Halmashauri ni zaidi ya bilioni1.

Akiwasilisha makisio na mpango wa bajeti kwa mwaka 2021/2022 Afisa mipango Bwa. Dickson Balige kwa niaba ya Mkurugenzi  Mtendaji alisema Halmashauri inatarajia kukusanya na kutumia zaidi ya  bilioni 34.5 ambapo kati ya fedha kiasi cha shilingi bilioni   32 kutoka serikali kuu.

Aidha Balige alisema bajeti ya mapato ya ndani imeongezeka kw sh.71,327,400 kutoka  bajeti ya 1,426,548,000 hadi shilingi 1,497,875,400 kwa mwaka wa fedha 2021/2022 sawa na ongezeko la asilimia 4.7 ongezeko hili limetokana  na kuimarika kwa mfumo wa ukusanyaji wa mapato.

Balige alitaja vipaumbele vya bajeti hiyo kwa mwaka 2021/2022 kuwa ni kuchangia miradi ya maendeleo,ujenzi wa miundombinu ya shule,kutoa mikopo kwa Wanawake,Vijana na watu wenye ulemavu,kusimamia nakuimarisha ukusanyaji mapato na kuhamasisha ufugaji bora nakutoa chanjo ya mifugo.

“Mhe Mwenyekiti rasimu hii ya mpango wa bajeti ya halmashauri ni makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2021/2022,rasimu hii itaendelea kujadiliwa na kupatiwa ushauri kwenye vikao vya ngazi  ya Mkoa,Ofisi ya Rais TAMISEMI pamoja na Wizara fedha  Mipango kabla ya kujadiliwa na kupitisha na Bunge’'alisema Balige.

Akizungumza wakati wa kufunga kikao Mwenyekiti wa Halmshauri mhe.Charles Manumbu ambae pia ni Diwani wa kata ya Iramba,alisema ni zoezi la ukusanyaji mapato linahitaji ushirikiano kati ya wataalamu na madiwani pamoja  ili kuongeza mapato pamoja na kubaini vyanzo vipya vya mapato.

“Mkurugenzi na timu yako tuendelee kuchapa kazi,tunasifa ya kushirikiana kati ya timu ya madiwani na wataalam ili tusonge mbele na kuifanya Halmashauri kuwa imara’.Aliseme Manumbu

Bajeti ya Halmashauri imeongezeka kwa shilingi 6,886,822,164 sawa na asilimia 20.07.Ongezeko hili linatoka na tarajio la ajira mpya pamojan na matarajio ya watumishi kupanda madaraja.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda