• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Halmashauri ya Wilaya Bunda imeendelea na utaratibu wa kuwatambua na kuwathamini Wanawake katika nyanja mbalimbali ili kuwakomboa kiuchumi.

Posted on: March 9th, 2021

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Bi.Beatrice Gwamagobe Machi 8, 2021 katika  kilele cha maadhiisho ya siku ya wanawake yaliyofanyika katika Kata ya  Chiterngule kijiji cha Busambara kwa kauli mbiu“Mwanamke katika Uongozi chachu kufikia Dunia yenye Usawa’‘.

Aidha Gwamagobe alisema kuwa Halmashauri kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii imeendelea kutoa asilimia 10 ya mapato ya ndani  kwa kutoa mkopo kwa Watu wenye ulemavu 2 Vijana 4 na Wanawake asilimia 4 ambapo mikopo hiyo  imeweza kuinua kipato cha Wanawake wengi  pamoja na  makundi mengine yanayonufaika na mkopo usio na riba.

‘uwepo wa  mkopo usio na riba umeweweza kusaidia  wanawake wengi kwa kuendeleza shughuli za kijasiliamari na kupelekea vikundi hivyo kufanikiwa’’alisema Gwamagobe

NayeMgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe Lydia Bupilipili amewaasa wanawake kujisimamia kupitia fedha za mikopo wanazopatiwa ili kukuza vipato vyao na familia kwa  kujihusisha na shughuli ndogondogo za jamii kama ufugaji,kilimo na kuacha kumtegemea mwanaaume pekeake .

‘kila mwanamke atambue kuwa  siku ya wanawake imewekwa kwaajili ya kukumbushwa majukumu ya wanawake wote katika jamii’’.alisema Bupilipili

Mhe Bupilipili alitoa wito kwa familia zinazoendelea kumgandamiza mwanamke kiukatili kuwacha mara moja,kwani kuendelea kufanya hivo ni kumrudisha  nyumaMwanamke.

‘lazime  unyanyasaji na ukatili kwa Mwanamke  ufike mwisho’alisema Bupilipili

Kwa upande wa Wanawake  waliohudhuria maadhimisho hayo wamesema kuwa watafanyia kazi yale yote walioelekezwa na Mkuu wa Wilaya na kuwa mstari wa mbele kupinga na kupambana na ukatili katika jamii zao na kuhimiza wanawake wengine kufanya kazi.

Kwa hatua ingine Gwamagobe alisema kuwa licha ya juhudi zinazofanywa na serikali bado wanawake wanakabiliwa na changamoto za ufukiaji wa huduma za jamii kama elimu,Afya na upatikanaji wa huduma za maji kwa ukaribu,ambapo kuna baadhi ya vijiji wanafuata maji umbali mrefu.

 Maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani hufanyika kila mwaka Machi 8, ambapo huambatana na shughuli mbalimbali mpaka kufikia kilele. Kwa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda kupitia Idara ya maendeleo ya jamii  Watumishi wanawake walitembelea kituo cha Watoto wanaoishi mazingira magumu kilichopo Bunere,Kupanda miti katika hospitali ya Wilaya pamoja na kutoa semina kwa Wanafunzi wa kike katika shule ya Sekondari Mwibara

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda