• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Hali ya Ufaulu wa mtihani wa Kidato cha pili mwaka 2020 imeongezeka Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

Posted on: February 28th, 2021

Hali ya ufaulu wa mtihani wa kidato cha 2 pili mwaka 2020 imeongezeka kwa asilimia 6 kutoka asilimia 83 kwa mwaka 2019 hadi kufikia asilimia 89 kwa mwaka 2020.

Hayo yamesemwa na afisa taaluma wilaya ya Bunda Januari  Izumba, wakati akisoma taarifa ya tathimini ya ufaulu wa mitihani ya taifa mwaka 2018,2019,2020. Ambapo alisema kuwa licha ya kukutana na changamoto mbali mbali katika ufundishaji  Halmashauri imefanikiwa  kuimarisha ubora wa elimu na kusababisha kupungua kwa wanafunzi wanaopata daraja 0 licha ya ufaulu huo kupanda kwa asilimia chache.

Nae mkuu wa wilaya a ya Bunda Lydia Bupilipili ambae alikuwa mgeni rasmi amewaasa Walimu kupenda kazi zao na kuacha kusingizia changamoto maaana kila kazi inachangamoto zake,hivyo wahakikishe wanafanyia kazi na kufanikisha jitihada zote ambazo zimewekwa kwa ajili ya kuongeza ufaulu mashuleni.

Aidha Mhe Bupilipili alisema kuwa walimu wanatakiwa kushirikiana na kuwapenda watoto mashuleni maana baadhi ya watoto wanatoka katika familia ambazo hazina uelewa juu ya elimu na hazitoi ushirikiao ili wanafunzi wasome katika mazingira mazuri, hivyo walimu hawana budi kuwafundisha kwa utaratibu mzuri ambao utasaidia kuongeza ufaulu.

‘ Wanaowajibu wa kutekeleza kila hitaji  la wanafunzi kwa kila hali ili kuongeza ufaulu’.alisema Bupilipili

Licha ya mafanikio na mabadiriko hayo izumba aLIsema kuwa kunachangamoto zinazoikabili idara ya elimu sekondari ikiwemo upungufu wa walimu hasa masomo ya sayansi,upungufu wa vifaa vya kujifunzia mashuleni, utoro kwa wanafunzi ambao wamekuwa wakihusishwa katika shughuli za kijamii.

Halmashauri ya Wilaya ina Tarafa tatu Chamriho,Kenkyombio na Nasimo pamoja na shule  za Sekondari  17 zinazomilikiwa naSerikali na 2 zinamilikiwa na binafsi.

 

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda