• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Dc Bunda afungua mafunzo ya mpango wa TASAF awamu tatu sehemu ya pili

Posted on: August 16th, 2021

Mapambano dhidi ya umasikini katika nchi yetu yalianza takribani miaka sitini iliyopita mara tu baada ya uhuru.

‘kama mnakumbuka baba wa Taifa Mwl.Julis Nyerere aliwataja maadui watatu wa Taifa hili ni umasikini,Maradhi na Ujinga lakini ukiweza kupambana na adui mmoja ambae ni umasikini unakuwa katika nafasi nzuri ya kupamba na maadui wawili ambao ni maradhi pamoja na ujinga’’

Kauli hiyo imetolewa  na  Mkuu wa Wilaya ya Bunda  Mhe Joshua Nassari wakati wa  ufunguzi wa Kikao kazi cha kujenga uelewa kuhusu  sehemu ya  pili ya awamu ya  tatu ya TASAF Agosti 10,2021 katika Ukumbi wa Halmashauri uliopo Bunda Mji.

 Mhe. Nassari amesema kuwa Elimu kwa walengwa inabidi itolewe kila wakati na  wawezeshaji  ili  kuwawezesha walengwa kutumia vizuri fedha wanazopata pamoja na miradi  wanayoanzisha ili kujikwamua  katika umasikini.

‘’Wawezeshaji mtapimwa kwakuangalia mafanikio ya walengwa, Tutapima kwamba kwa namna gani mmefanya kazi hii kwakuangalia mafanikio gani yanapatikana na  lengo lililowekwa na Serikali katika mpango wa pili wa TASAF ’’alisema Mhe Nassari

Mhe Nassari ametoa wito kwa waheshimiwa madiwani kuwa mabalozi katika maeneo yao pamoja nakuelekeza wananchi madhumuni  halisi ya mpango wa TASAF kipindi cha pili katika kuwahikikisha  Wananchi wanatoka katika hali duni na kujikwamua katika umasikini i.

‘mafunzo haya yamelenga kwenu viongozi ili  kuitambua maana halisi ya mpango huu bila kuyumbishwa na matakwa ya kisiasa,kiundugu  na urafiki ambao mmeujengea katika jamii zenu,mkatusaidie kuwa mabalozi ili mpango huu uwe na tija’’alisema Mhe.Nassari

Awali akisoma hotuba  kwa niaba ya  Mkurugenzi  Mtendaji wa TASAF wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha kujenga  uelewa kuhusu seheumu ya pili ya awamu ya TASAF mtaalamu kutoka makao makuu  Bwa.Elius Muyomba amesema tathimini ya utekelezaji wa kipindi cha kwanza cha awamu ya tatu imeonyesha kwamba program hii imechangia katika kufikiwa kwa azma serikali ya kupunguza  umasikini nchini.

‘Takwimu zinaonesha kwamba umasikini wa mahitaji ya msingi kwa kaya za walengwa umepungua kwa asilimia 10 na umasikini uliokithiri kwa kaya za walengwa umepungua kwa asilimia 12 hii ni kutokana na walengwa kujikita katika shughuli za kukuza kipato zikiwemo ufugaji,kilimo,uvuvi na kufanya miradi ya ujasiriamali’Alisema Bwa.Muyomba

Kwa upande wake Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Bwa.Kilemba Irobi ametoa shukrani kwa Serikali kwakuendelea kuweka mkakati bora kwa walengwa ili kuwahikikisha wanajikwamua katika umasikini.

‘’kwa utaratibu huu wakuanzisha vikundi na uwepo wa miradi hii itasaidia kukuza kipato cha walengwa’

Aidha Mhe Irobi ameto rai kwa wananchi kuendelea kusimamia miradi na fedha wanazopata kwani TASAF haitakuwepo siku zote.

‘’ Walengwa wakumbuke kuwa TASAF haitakuwepo siku zote hivyo wajiwekee akiba kwa kufanya shughuli za kujipatia kipato’’alisema Mhe  Irobi

TASAF kipindi cha  pili Awamu ya Tatu  kinatekelezwa kwa Halmashauri zote  184 za Tanzania Bara na Wilaya zote za Zanzibar na kwa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda inatarajia kufanya zoezi hili katika Vijiji 22 ambapo hapo awali havikufikiwa .

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda