• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BILIONI 36.5 ZAIDHINISHWA NA BARAZA LA MADIWANI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA.

Posted on: February 20th, 2025

Baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Bunda siku ya tarehe 20/02/2025 katika mkutano wake maalumu uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri limeridhia na kupitisha rasimu ya bajeti ya Tsh.36,516,498.215 kwa mwaka wafedha 2025/2026.

Akisoma bajeti hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Mkuu wa Idara ya mipango na Uratibu Ndugu. Gervas Amata ametoa mchanganuo wa bajeti hiyo ambapo kiasi cha Tsh. Billion 2,650,740,00.00 ni kwa ajili ya mapato ya ndani, Tsh 22,484,500,000.0 kwa ajili ya ruzuku ya mishahara ya watumishi, Tsh. 2,230,254,000.00 kwaajili ya ruzuku ya matumizi mengine na Tsh.9,151,274,215.00 kwaajili ya miradi ya maendeleo.

Akizungumza katika baraza hilo Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Mh. Keremba Irobi, amelipongeza baraza la madiwani kwa kupitisha rasimu ya bajeti hiyo kwani imezingatia mapendekezo yote muhimu ya waheshimiwa madiwani na hivyo itakwenda kutatua changamoto mbalimbali za wananchi.

Kwa upande wake katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda Ndug. Salum Khalfani Mtelela ameipongeza Halmashauri kwa ukusanyaji mzuri wa mapato ya ndani na kuwasihi kusimamia bajeti hiyo pindi itakapopitishwa.

“Kupitisha bajeti ni jambo moja lakini pia kuisimamia bajeti hiyo ni jambo lingine hivyo niwaombe mara baada ya bajeti hii kupitishwa na kupokea fedha kwa mwaka 2025/2026 zingatieni vipaumbele na timizeni malengo ya bajeti hii.” Alisema Ndugu. Mtelela

Hata hivyo, miongoni mwa vipaumbele vya Halmashauri katika mpango na bajeti ya 2025/2026 ni kukitangaza kisiwa cha Rwiga kwaajili ya shughuli za utalii, na ulipaji wa madeni ya wazabuni katika Halmashauri.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 04, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ELIMU YA UTUNZAJI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA YATOLEWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MWIBARA

    June 04, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    June 03, 2025
  • ELIMU IENDELEE KUTOLEWA KWA VIJANA RIKA BALEHE.

    May 31, 2025
  • WAUGUZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI

    May 30, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda