• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BANK YA NMB YAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI KWA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA.

Posted on: February 7th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Bunda imepokea jumla ya msaada wa madawati 200 kutoka bank ya NMB tawi la Bunda siku ya tarehe 7/2/2025, ambapo meneja wa bank Kanda ya Ziwa, pamoja na timu nzima ya bank tawi la Bunda walikabidhi madawati hayo kwa uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mgeni rasmi akiwa ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda Ndugu Salum Mtelela, kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda.

Akikabidhi msaada huo, meneja wa bank ya NMB Kanda ya Ziwa, Bi. Faraja Ng'ingo alimshukuru katibu Tawala kwa kuweza kushiriki katika zoezi la upokeaji wa madawati,pia aliupongeza uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda pamoja na wananchi kutoka Mwiruruma, Mumagunga na Buguma kwa kushiriki katika mapokezi hayo.

Bi.Ng'ingo alisema, tunayofuraha kuona mnashirikiana nasi katika mambo mbalimbali hususani ya kijamii, hapa, sisi ni wenyeji sasa na zaidi tunafurahia kuona wenyeji wetu kutambulika na kushirikishwa katika masuala mbalimbali ya kuchangia katika sekta ya elimu kwa ujumla na ushirikiano huu ndio unaotufanya kuwa bank kinara katika kujali na kujihusisha na masuala mbalimbali ya jamii hapa nchini.

“Tunatambua juhudi za serikali ya Awamu ya sita chini ya Rais Dkt Samia Suluh Hassan ya kusimamia upatikanaji wa huduma Bora za elimu, kwa nguvu zote na kwa kuboresha mazingira ya elimu mjini na vijijini, hatunabudi sisi bank ya NMB kuendelea kuipongeza serikali na kuunga juhudi katika kuboresha sekta ya elimu." Alisema

Pamoja, na juhudi kubwa zinazofanywa na serikali sisi kama wadau wa Maendeleo tutaendelea kuunga mkono juhudi hizi za maendeleo kwa kuisaidia jamii, kwani jamii hizi ndizo zinazosaidia bank ya NMB kuwa hapa ilipo.

" Leo hii tunakabidhi madawati haya 200 kwa mgawanyo wa shule tatu za msingi ambazo ni Mumagunga, madawati 50, Buguma madawati, 50 na Mwiruruma madawati 100 yote yakiwa na thamani ya Tshs Million 20." Alisema

Tunawashukuru kwa kutambua kuwa bank ya NMB ni mahala salama pa kukimbilia, hii inaonyesha jinsi mnavyothamini mchango wetu kwenu katika kuchangia Maendeleo katika sekta ya elimu kwa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 04, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ELIMU YA UTUNZAJI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA YATOLEWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MWIBARA

    June 04, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    June 03, 2025
  • ELIMU IENDELEE KUTOLEWA KWA VIJANA RIKA BALEHE.

    May 31, 2025
  • WAUGUZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI

    May 30, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda