• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI, PAMOJA NA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA.

Posted on: December 19th, 2024

Baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Bunda likiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Mh. Charles Manumbu, siku ya tarehe 19/12/2024 walifanya ziara ya kutembelea Halmashauri ya Wilaya ya Geita.

Lengo kuu la ziara hiyo ni kujifunza namna ya ujenzi wa miundombinu imara na bora ya majengo, pamoja na ukusanyaji wa mapato ya ndani kupitia mialo ya samaki na dagaa.

Aidha, katika ziara hiyo, walitembelea na kukagua ubora wa jengo la kituo cha Afya cha Nkome kinachojengwa na kampuni ya mgodi wa dhahabu wa Geita kupitia fedha za (CSR),Ofisi ya kata Nzera ambayo imejengwa kwa fedha za mapato ya ndani ya Halmashauri.


Pia, walitembelea mwalo wa dagaa uliopo kata ya Nkome na kuweza kujifunza namna wanavyokusanya ushuru kwa njia ya mashine (POs) , namna ya ujenzi wa vichanja vya kuanikia dagaa baada ya kuvuliwa ziwani, walitembelea mwalo wa kuvulia samaki aina ya Sangara na kujifunza jinsi wanavyokusanya mapato na namna wanavyosafirisha samaki baada ya kulipiwa ushuru




Waheshimiwa madiwani waliweza kuuliza maswali mbalimbali kutoka kwa wenyeji wao, na kupewa ufafanuzi wa yote waliyotaka kuyafahamu, pia walishukuru kwa ziara nzuri ya mafunzo na mapokezi mazuri waliyoyapata. Waliahidi kwenda kuboresha zaidi katika masuala ya ukusanyaji wa mapato kupitia vyanzo walivyo navyo sasa, ili waweze kuongeza zaidi mapato ya ndani ya Halmashauri.


Pia, waliwashukuru na kuwapongeza kwa ujenzi Bora na imara wa majengo yao.

Katika ziara hiyo, Waheshimiwa madiwani waliongozana na baadhi ya wakuu wa idara na vitengo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bw. George S. Mbilinyi.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda