• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Ziara ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda katika maeneo yaliyopendezekezwa ujenzi wa shule mbili za Sekondari za Kata.

Posted on: December 15th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe.Joshua Nassari amewapongeza wananchi wa kata ya Nampindi na Nyamihyolo kwakujitolea na kupendekeza maeneo kwaajili ya ujenzi wa Shule  mbili za  Sekondari za kata kupitia mradi wa SEQUIPT.

Pongezi hizo amezitoa  mara baada ya kutembelea eneo la Kijiji cha Sunsi na Makwa kata ya Nampindi na   Kata ya Nyamihyolo 14,Disemba 2021.

Mhe Nassari amesema kuwa Serikali imetambua uhitaji wa Shule  za Sekondari katika  Kata hizi mbili ili kupunguza watoto kutembea umbali mrefu kufuata elimu

‘Niwapongeze kwakujitolea maeneo,Watoto sasa hawataenda kusoma mbali’’Amesema Mhe.Nassari

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Bi.Changwa Mkwazu ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe.Samia Suluhu Hassan kwakutoa kiasi cha Tsh.1, 200,000,000 kwaajili ya ujenzi wa Sekondari za Kata kupitia mradi wa  SEQUIPT.

‘’Tunashukuru’’Amesema Bi.Mkwazu

Kwa hatua ingine Mhe.Nassari ametoa wito kwa vijana  kujikita katika shughuli ambazo zitawainua kiuchumi na kuacha kuwategemezi  katika familia ili kuleta maendeleo.

‘vijana ndio tegemezi la Taifa letu,tujikite katika shughuli mbalimbali ili kujikwamua katika umasikini’’Amesema Mhe.Nassari

Mbali na kutembelea maeneo yaliyopendekezwa ujenzi wa Shule za Sekondari za Kata kupitia Mradi wa SEQUIPT pia Mhe.Nassari amekagua maendeleo ya   ujenzi wa vyumba  vitatu madarasa katika Kijiji cha Karukekere .

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI January 20, 2023
  • MKOPO WA WATUMISHI,2022/2023 August 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI December 13, 2022
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDa November 05, 2021
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TANGAZO KWA UMMA

    August 28, 2022
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA YAVUNJA REKODI MAKUSANYO YA MAPATO YA NDANI KWA MWAKA WA FEDHA 2021/2022

    August 03, 2022
  • Halmashauri ya Wilaya ya Bunda yakabidhi vyumba vya madarasa 87 kwa Mkuu wa Mkoa wa Mara

    January 22, 2022
  • Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe.Ally Hapi Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

    January 22, 2022
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kilimani Street

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0677002976

    Hamishika: 0783669938

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda