• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIARA YA KATIBU TAWALA WA WILAYA YA BUNDA, KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: July 27th, 2024

Kamati ya usalama ya Wilaya ya Bunda ikiongozwa na Katibu  Tawala wa Wilaya ya Bunda, Ndugu Salum Mtelela  siku ya tarehe 26/7/2024 ilitembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, kwa upande wa Jimbo la Bunda.

Lengo la ziara hiyo, ni kuona namna maelekezo yaliyotolewa katika Halmashauri kama yametekelezwa na kufanyiwa kazi, ambapo walitembelea na kukagua ukamilishaji wa nyumba za watumishi zilizopo katika kituo cha afya Hunyari ambayo ni (3in1), mradi wa maji uliopo Sanzante, ambapo walitembelea na kukagua chanzo cha maji, mradi wa barabara kutoka Kiloleri hadi Nyabuzume yenye urefu wa Km 4.1, kiwanda cha Vijana Moto kilichopo Mariwanda kinachojishughulisha na uchanganyaji wa virutubishi kwenye unga, Pamoja na shule ya sekondari Mariwanda.

Ndugu Mtelela alimuagiza, Mhandisi wa TARURA wa Wilaya ya Bunda kuhakikisha anakamilisha barabara hiyo kwa wakati na kuhakikisha wanatengeneza mahali ambapo magari yataweza kugeuza mwishoni mwa barabara.

Kamati ya usalama, pia, ilimpongeza Meneja TANESCO wilaya kwa kutimiza ahadi ya kufikisha umeme katika shule ya sekondari Mariwanda kwa wakati, na kumtaka kuhakikisha, anafikisha umeme mapema katika kiwanda cha Vijana Moto kilichopo Mariwanda, ili kiwanda hicho kiweze kuendelea na shughuli za kuendesha mashine na kukua kiuchumi.


 Kiwanda kinachomilkiwa na kikundi cha Vijana Moto-Mariwanda

Ukaguzi ndani ya kiwanda

Kamati pia, ilimuagiza Meneja RUWASA wa Wilaya kuhakikisha anaongeza kasi katika ukamilisha wa ujenzi wa vituo vya wananchi vya kuchotea maji (DPs), ili waweze kupata huduma ya maji safi na salama kwa ukaribu, maagizo hayo aliyatoa wakati walipotembelea na kukagua mradi wa maji uliopo Kijiji cha Bukama, Kata ya Nyamuswa.

Katika ziara hiyo waliongozana na wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, Pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, Ndugu George S. Mbilinyi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 04, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ELIMU YA UTUNZAJI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA YATOLEWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MWIBARA

    June 04, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    June 03, 2025
  • ELIMU IENDELEE KUTOLEWA KWA VIJANA RIKA BALEHE.

    May 31, 2025
  • WAUGUZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI

    May 30, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda