• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SHIRIKA LA PROJECT ZAWADI LIMEKABIDHI NYUMBA SITA ZA WALIMU KWA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

Posted on: August 24th, 2024

           

Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mh. Dkt Vicent Anney, ambaye alikuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya uzinduzi na makabidhiano ya nyumba sita za walimu wa shule ya msingi Busore, iliyopo kijiji cha Bukama, Kata ya Nyamuswa katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

Hafla ya makabidhiano ya nyumba hizo yaliyafika siku ya tarehe 23/8/2024 katika viwanja vya shule ya msingi Busore, ambapo mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda alizindua na kuzikabidhi kwa walimu wa shule ya msingi Busore.


Mh. Dkt Anney aliwashukuru shirika la Project Zawadi wakiwa ni wadau wakubwa wa maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda hasa tarafa ya Chamriho kwa upande wa elimu, wamekuwa wakitoa elimu kuhusiana na masuala ya lishe bora kwa shule zilizopo Kata ya Nyamuswa, wamekuwa ni wadau wa maendeleo kwa upande wa miradi ya maji, na umeme.

“Tunawashukuru sana shirika la Project Zawadi kwa kutujengea nyumba hizi nzuri na za kisasa, ambazo zina miundombinu yote muhimu kama maji na umeme, tunapenda kuwashukuru sana kwa kuendelea kuunga juhudi za serikali ya awamu ya sita katika kuhakikisha tunaboresha elimu kwa wanafunzi kwa kuhakikisha walimu wanaishi kwenye makazi bora.” Alisema Dkt Anney.

Meneja Program ya Ufadhili wa Wanafunzi, kutoka shirika la Project Zawadi Bi. Regina Mkama alisema ujenzi wa nyumba hizi ulianza tarehe 2/3/2021 na kukamilika tareheb31/7/2024 lengo kuu likiwa ni kuboresha mazingira mazuri ya kuishi walimu katika shule ya msingi Busore na kuwapunguzia kero wanazopitia walimu za kutafuta makazi ya kuishi nje ya eneo la shule. Kero hizo huchangia kuzorotesha juhudi za kutoa elimu bora kwa wanafunzi.

“Hadi kukamilika kwa mradi huu wa ujenzi wa nyumba sita za walimu, jumla ya Tshs Million 176,192,736 zimetumika, ambapo kiasi cha Tshs Million 161,612,736 zilitolewa na shirika la Project Zawadi na kiasi cha Tshs 14,580,000 ni michango ya wananchi kupitia nguvu zao zikihusisha uletaji wa viashiria vya ujenzi ambavyo ni kokoto, udongo, mchanga, mawe na maji.” Alisema Bi. Mkama.

Shirika la Project Zawadi linatekeleza miradi ya elimu katika shule 46 katika vijiji 28 kwenye Kata 7 ambazo ni, Nyamuswa, Ketare, Mihingo, Mugeta, Nyamang’uta, Hunyari na Salama.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda