• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

OFISI YA MKUU WA WILAYA YA BUNDA IKISHIRIKIANA NA OFISI YA MKUU WA MKOA WA MARA WAANDAA TAMASHA LA NYAMACHOMA

Posted on: November 4th, 2024

Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda kwa kushirikiana na ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara imeandaa tamasha la Nyamachoma lijulikanalo kama Nyama choma Festival, litakalo fanyika  katika stend ya zamani  iliyopo Bunda Mjini siku ya tarehe 8/11/2024.

Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mh. Dr. Vicent Anney amesema, tamasha hilo litawahusisha wananchi wote wa wilaya Bunda na maeneo ya jirani huku lengo kuu likiwa ni kuhamasisha wananchi kushiriki katika uchaguzi wa Serikali za mitaa unao tarajia kufanyika tarehe 27/11/2024.

“Tumeandaa tamasha hili mahususi ilituweze kukutana na wananchi wote wa Wilaya ya Bunda kwa ajili ya kutoa elimu juu ya umuhimu wa uchaguzi wa serikali za mitaa, unaotarajia kufanyika mwezi kumi na moja tarehe 27, 2024 ili kila mwananchi aweze kufahamu haki yake ya kikatiba katika kupiga kura na kuweza kuchagua viongozi walio bora na sahihi ambao watashirikiana na wananchi katika kuleta maendeleo katika kijiji na kitongoji. Amesema  Mh. Dkt Anney.

Ameongeza kuwa, wananchi wengi bado hawana hamasa ya kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa  hii nikutokana na ukosefu wa elimu juu ya umuhimu na faida za kushiriki uchaguzi hususani wa serikali za mitaa katika kuchagua viongozi wa kjiji, vitongoji, na wajumbe wa halmashauri ya kijiji.

“Watu wengi bado wanadhana ya kufikiri kuwa zoezi la uchaguzi ni mahususi kwa baadhi ya makundi ya watu pasipokufahamu kuwa zoezi la uchaguzi ni haki ya kila Mtanzania aliyetimiza vigezo vya kushiriki zoezi hilo” Amesema Mkuu wa Wilaya.

Aidha amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika tamasha la Nyamachoma Festival ambalo linahusisha mambo mbalimbali ikiwemo michezo na ngoma za asili na zawadi mbalimbali zitatolewa kwa washindi wa watakao choma nyama vizuri, tamu na yenye ladha.

Uchaguzi wa serikali za mitaa una husisha kila Mtanzania mwenye umri wa kuanzia miaka 18 na kuendelea kwenda kupiga kura na kumchagua kiongozi mwenye sifa sahihi, na kila Mtanzania mwenye umri wa miaka 21 na kuendelea anayohaki ya kugombea nafasi ya uongozi katika uchaguzi wa serikali za mitaa na ni lazima awe amejiandikisha kwenye daftari la mpiga kura la serikali za mitaa.

Seikali za Mitaa, Sauti ya Wananchi, Jitokeze kushiriki Uchaguzi.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda