• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe Lydia Bupilipili awaasa Watendaji kuhamasisha Lishe Bora kwa Jamii

Posted on: May 20th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe Lydia Bupilipi  amewataka Viongozi wa Ngazi ya Kata na Vijiji kuhamasisha Wazazi na Jamii nzima kwa ujumla kuhusu lishe  bora na chakula mashuleni ili watoto waweze kumudu masomo.

Hayo yamesememwa Mei 18,2021  katika Ukumbi wa Halmashauri wakati wa kupokea Tathimini ya Mkataba  wa Lishe kwa kipindi cha Januari  hadi Machi,2021.

Mhe Bupilii alisema kuwa  Serikali imetambua umuhimu wa afua za lishe nchini na imetoa msukumo zaidi kuimarisha afya  kwa kufunga mikataba kuanzia Ngazi ya Mkoa mpaka ya Kata.

‘Sisi kama viongozi hatuwezi kulibeza swala la lishe katika jamii’’.alisema Mhe Bupilipili

Mhe Bupiliupili alitoa wito kwa  watendaji wa Kata  kuendelea kujitolea kuhamisisha wananchi kuhusu Lishe bora hasa mashuleni.

‘’Tunaeza walaumu kuwa walimu hawajafundisha vizuri watoto wamefeli,wakati mtoto hapati lishe iliyobora ikamfanya akatulia  na kumsikiliza mwalimu’’alisema Mhe Bupilipili

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Halmashauri  Dkt Nuru Yunge alisema kuwa utekelezaji wa viashiria vya Mkataba wa Afya umekuwa hautekelezwi kwa ufanisi katika Halmashauri kama ilivyopangwa kutokana na changamoto kubwa zaidi ni ukosekanaji wa fedha .

‘’Mimi Mganga Mkuu,kushirikiana na Afisa Mipango na Wataalam wengine tuweze kuandika maandika mbalimbali ambayo yatatusaidia kupata fedha ambayo itatusaidia kutekeleza afua za lishe ilikuboresha afya za jamii katika Halmashauri yetu’’Alisema Dkt Yunge

Dkt Yunge alisema kuwa wananchi wa  Halmashauri ya Wilaya ya Bunda wana nafasi kubwa ya kupata lishe bora kutokana na Mazingira yao wanaoishi.

‘’Jamii isifikirie lishe bora ni kula nyama ya kuku,unaeza ukalima  mboga za majani na mazao mengine kwa gharama nafuu na ukapata  mchanganyo wa lishe bora’’Alisema Dkt Yunge

Naye,  Bi Magreth Arbogast kwa niaba ya Afisa Lishe alitaja madhara  wanayoweza kutokea mtu anapokosea lishe bora ni Utapiamlo,na kwa wajawazito anaechelewa kuanza kliniki ni pamoja na kuzaa watoto wenye matatizo ya mgongo wazi,mdomo sungura na kuzaa watoto wenye vichwa vikubwa.

Aidha Bi mage amezitaka jamii kuzingatia lishe bora pamoja na kuzalisha vyakula vyenye virutubisho kwa wingi kama viazi lishe,maboga,mboga za majani na mazao mengine.

‘’kila mwanajamii aone umuhimu wa kuwepo wa mazao yatakayomsaidia kupata lishe bora’alisema Bi Arbogast

Kwa hatua ingine Dkt Yunge aliwashukuru wadau wa lishe ambao ni PCI,Kizazi Kipya,Americares na USAID Boresha Afya kwa kuwajengea uwezo wahudumu wa Afya kwa ngazi ya jamii.

 

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda