• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KIKAO KAZI CHA KUSIKILIZA NA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYABIASHARA WILAYA YA BUNDA.

Posted on: January 27th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mh.Dkt Vincent Anney siku ya tarehe 27/1/2025 alifanya kikao na wafanyabiashara wa Wilaya ya Bunda akiwa na lengo la kusikiliza na kutatua changamoto mbalimbali wanazokabiliana nazo katika sekta ya kilimo,uvuvi,miundombinu,maji na kimfumo.

Akifungua kikao hicho kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda Ndugu Salum Khalfan Mtelela aliwakaribisha na kuwashukuru wafanyabiashara wote waliohudhuria katika kikao hicho na kuwaeleza mbali na kusikiliza na kutatua changamoto mbalimbali wanazopitia, pia, kuangalia fursa  za kibiashara zilizopo katika Wilaya ya Bunda na kuona ni kwanamna gani wananchi wote wanaweza kunufaika na fursa hizo kupitia sekta mbalimbali zilizopo na kuona ni namna gani wataweza kuziboresha ili wananchi waweze kunufaika nazo.

Katika kikao hicho mbali na wafanyabiashara kuhudhuria pia walikuwepo madiwani wote wa Halmashauri ya zote mbili, Wakurugenzi watendaji, kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya, wakuu wa taasisi mbalimbali zilizopo Wilaya ya Bunda pamoja na wakuu wa vitengo na divisheni kutoka Halmashauri zote mbili za Bunda Mji na Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

Ndugu Mtelela alisema, nimewaalika wote hapa ili kuweza kutolea ufafanuzi yale yote ambayo yatahitajika kutoka kwa wafanyabiashara ikiwemo kufahamiana  na kujenga  mahusiano mazuri baina yenu wote.

Wafanyabiashara waliweza kueleza changamoto mbalimbali wanazokabiliana nazo ikiwemo masuala ya kutumia mfumo, kupishana kwa sera za serikali katika kubainisha mipaka yao kati ya serikali kuu na serikali za mitaa na kata katika masuala ya ulipaji wa ushuru wa serikali na usumbufu wa kudaiwa kodi za Halmashauri na TRA.

Wafanyabiashara waliomba serikali iwaboreshee mazingira mazuri ya yakufanya biashara zao katika sekta za ufugaji, kilimo,uvuvi na miundombinu.

Pia, waliomba walipwe madeni yao wanayozidai Halmashauri zote mbili ili waweze kuendelea na biashara zao kutokana na kuwahudumia katika kuwasambazia vifaa mbalimbali katika Halmashauri hizo.

Ndugu Mtelela aliwaahidi wafanyabiashara changamoto zote pamoja na maombi yao wataenda kuyafanyia kazi na kuhakikisha yanatekelezwa kwa wakati ikiwemo ulipaji wa madeni wanayodai kwa Halmashauri.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 04, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ELIMU YA UTUNZAJI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA YATOLEWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MWIBARA

    June 04, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    June 03, 2025
  • ELIMU IENDELEE KUTOLEWA KWA VIJANA RIKA BALEHE.

    May 31, 2025
  • WAUGUZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI

    May 30, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda