• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KIKAO CHA MAANDALIZI YA MPANGO WA BAJETI YA AFUA ZA LISHE HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA.

Posted on: January 10th, 2025

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Ndugu. Oscar Jeremiah Nchemwa siku ya tarehe 10/1/2025 amefungua kikao cha kamati ya lishe cha kujadili mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2025/2026.

Katika kikao, wajumbe kutoka idara mtambuka waliwasilisha bajeti zao na kuzijadili kuhusiana na masuala ya lishe, pamoja na kupanga mikakati ya namna gani  wataboresha Afua za lishe kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano, pamoja na wananchi wa halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

Ndugu Nchemwa aliagiza idara mtambuka zinazosimamia masuala ya lishe shuleni na katika jamii kuhakikisha wanatenga bajeti ambayo itasaidia katika uboreshaji na utekelezaji wa shughuli mbalimbali za lishe.

Naye, Afisa lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, Bi.Saumu Abdallah aliomba bajeti ya lishe iliyokuwepo kwa mwaka wa fedha 2024/2025 kutokupunguzwa bali, ibaki kama ilivyo ama iongezeke kutokana na shughuli za lishe zitakavyotekelezwa.

Kaimu Mganga Mkuu wa Halmahauri ya Wilaya ya Bunda, ambaye ni katibu wa kikao cha kamati ya Lishe alisema, lengo kuu la kuwa na mpango na bajeti ya lishe ni kwa ajili ya kuboresha Afya za watoto na wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

Kaimu Mkurugenzi alifunga kikao kwa kuwashukuru wajumbe wote waliohudhuria kikao na kusema, anaamini yale yote yaliyojadiliwa katika kikao yataenda kufanyiwa kazi na kutekelezwa katika kuhakikisha wanaboresha Afua za lishe.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 04, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ELIMU YA UTUNZAJI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA YATOLEWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MWIBARA

    June 04, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    June 03, 2025
  • ELIMU IENDELEE KUTOLEWA KWA VIJANA RIKA BALEHE.

    May 31, 2025
  • WAUGUZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI

    May 30, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda