• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Halmashauri Ya Wilaya ya Bunda ya Zindua Mkutano wa Kwanza wa Baraza la Madiwani.

Posted on: December 17th, 2020

Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Lydia Bupilipili ameawagiza  Madiwa wa Halmashuri ya Wilaya ya Bunda  kufuatilia na kusimamia  kikamilifu miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika kila kata na Kijiji.

Hayo  yamesemwa  Disemba 16, 2020 wakati wa Mkutano wa Kwanza wa Baraza la Madiwani  uliofanyika katika ukumbi wa  kanisa uliopo Kibara.

Mhe Bupilipili amesema kuwa ni muhimu kwa viongozi kuendeleea kushirikiana na wananchi katika kutekeleza miradi ya maendeleo ili wananchi waweze kuchangia nguvu zao katika kukamalisha miradi ya maendeleo

“wananchi wanaposhirikishwa  wanakuwa walinzi wa  mradi husika”.alisema Mhe Bupilipili

Pia Mhe Bupilipili amewaagiza Madiwani kuendelea kusimamia mapato  Kwakuanzisha kilimo cha mseto,kutangaza utalii pamoja nakuendelea kuhamasisha wananchi kuendelea kulima zao la pamba

“Endapo madiwani mtasimamia na kuzingatia ninaimani mapato ya halmashauri ya taongezeka huku itasaidia kutekeleza miradi ya maendeleo kwa kushirikiana na nguvu za Wananchi”.alisema Bupilipili.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Bunda Mhe  Charles Manumbu amewashukuru  Madiwani kwa  kumchagua kuwa Mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Bunda kwa kipindi cha miaka Mitano na kueleza kwamba atatoa ushirikiano mkubwa katika kuliongoza Baraza la madiwani  ilikuleta tija na manufaa kwa Wananchi pamoja na Halmashauri.

“Binafsi  nitaongoza baraza hili kwakufuata kanuni ,taratibu pamoja na miongozo iliyowekwa ili kuweza kuleta manufaa kwa sasa na kizazi cha baadae”.alisema Mhe Manumbu

Aidha Mhe Manumbu  amewataka  Madiwani hao kufanya kazi kwa umoja na mshikamano kwa  ushirikiano mkubwa  kutoka kwa watumishi.

Kwa upande wa Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya  Bunda , Bwa.Amos Kusaja amewasilisha taarifa ya shughuli  za Serikali zilizotekelezwa na Watumishi kwa kipindi cha kuanzia mwezi Mei hadi Novemba 2020,nakueleza kwamba shughuli hizo zimetekelezwa na Menejimenti ya Halmashauri ambapo utekeleza wa miradi na shughuli nyingine umefanyika katika Idara na  Vitengo na Sekta Zote.

Ramadhani  Dallo Katibu wa Chama cha Mapinduzi  Wilaya ya Bunda  amesisitiza  ushirikiano mzuri baina ya Watumishi na Madiwani ili kuweza kutekeleza Ilani  ya Chama cha Mapinduzi kwa  uwadilifu kwa maslahi ya Wananchi na kuifanya Halmashauri ya Wilaya ya Bunda isonge mbele isirudi nyuma.

“Ni jambo jema sana  kushirikiana na kufanya kazi kwa  upamoja ili tusonge mbele”.Alisema  Dallo

Aidha Dallo ametoa wito kwa  Mkurugenzi Mtendaji kuhakikisha  madiwani  wanafahamu stahiki zao na stahili na kutimizwa pindi panapo stahili ili kuepusha mgawanyiko .

“Mkurugenzi hakikisha madiwani wanapata kufahamu stahiki zao ili wapate nafasi yakufanya kazi vizuri.”alisema Dallo

Jumla ya Madiwani 25  walikula kiapo na kati ya hao 22 ni wachama cha Mapinduzi(CCM),2 ni CHADEMA na mmoja kutoka ACT.

Kikao hicho pia Kilihudhuriwa na Katibu tawala Wilaya,Viongozi wa Taasisi mbalimbali ,Afisa Uchunguzi na Wananchi.

Mwisho.


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda