Wilaya ya Bunda ni moja ya Wilaya zenye mifugo mingi zaidi hapa nchini Tanzania. MIfugo hii inasaidia jamii za kifugaji kupata kipata kwa kuiuza na pia kuuza maziwa. Halmashauri inanufaika na mifugo hii kupitia ushuru wa machinjio, ushuru wa uuzaji na utambuzi wa mifugo hiyo.
Kilimani Street
Anuani ya Posta: 126, Bunda
Simu: 0677002976
Hamishika: 0783669938
Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz
Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda